Tunahitaji a Surrogate Mother

Hebu niulize dau kubwa ni kiasi gani! Maanake nimelileta hapa JF nikiamini kuwa somebody May be a doctor anaweza ame-encounter kitu kama hiki! Kwa upande wa pesa sidhani kama inaweza kuwa kikwazo maana kikubwa kinachotakiwa ni mtoto wa wazazi hawa wawili!
 
Adha ni kwa wale wasiomuamini Mwenyeezi Mungu na sharia zake, mwanamke mwenye imani yake humuambia "mume wangu kaoe" uniletee watoto nilee. Tumewaona wengi tu wa namna hiyo.

Hapo kwenye bold ndo pagumu my dia, mnayaweza nyie tu wafuasi wa hiyo dini. Kwetu sisi HAIWEZEKANI!
 
Back
Top Bottom