figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Madhumuni ya kikwete kama anavyosema ni kuhuwisha katiba iliyopo ya 1972 ili iweze kutupeleka miaka 50 ijayo.KATIBA MPYA IPO TAYARI. Hata wabunge wa chadema na nccr wangeongea bungeni hadi wakalia hamna ambacho kingebadilika kwani imeshapangwa itakavyo kuwa. Chadema wamempa ushauri kikwete lakini hajaufuata kwani imeshapangwa itakavyokuwa. Na wananchi hata wakitoa mapendekezo yao hayatafuatwa kwani imeshapangwa itakavyo kuwa. upigaji kura utasimamiwa na NEC ambayo itafanikisha mpango mzima. Mia