Tunafunga ndoa bila baraka za wazazi

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Feb 25, 2012
1,253
1,028
Habariza jioni wanajamii? Kutokana na kutokuwa na msimamo hawa wakwe ie walezi wa gf wangu,mi naona tufunge ndoa bila ya baraka zao,kisa tofauti za din ie mi muislamu na gf wangu mkristo
Nilipeleka posa wakakubali bila kuainisha masharti juu ya hizi tofauti ingawa binti karidhia kubadiki dini
sasa mambo bam bam na kadi zimeshasambazwa na wengine wamewasilisha michango yao ndiowamemuita mwenzangu wanasema hawapo radhi kwa yeye kusilimu na hivyo endapo yeye akisilimu ajijue yeye.
Mi kila nikitizama naona nimeshafika mbali sana katika haya maandalizi kucancel hii shughuli hnakuwa far beyond imposibo. Tunachukua maamuzi magumu japo upande mwingine tupo njia panda. Plz give constructive advice/contribution.
 
Pole sana mkuu imeshanitokea kama ww nilikomaa mpaka dk ya mwisho kikaeleweka cha msingi ww na mchumba wako muwe na msimamo mmoja mtafanikiwa
 
Hata wakati wa kuachana msitafute ushauri au baraka za wazazi. Jifikirie kama watoto wenu watafuata mfano wenu itakuwaje na mtakuwa mnajenga mstakabali wa namna gani kifamilia. Ni ushauri tu wanangu.
 
Pole sana mkuu imeshanitokea kama ww nilikomaa mpaka dk ya mwisho kikaeleweka cha msingi ww na mchumba wako muwe na msimamo mmoja mtafanikiwa

Sasa miaka mingapi?
No challenges interms of believes?
 
Mara nyingi angalia future huyo mwenzako akija pata tatizo atataabika kama kweli atatengwa na familia yake
 
Baba yangu ni mkristo na mama yangu ni muislamu mpaka leo hii wanaishi pamoja zaidi ya miaka 40,walifunga ndoa ya bomani,kama kuna mapenzi ya dhati kafungeni ndoa ya bomani na mengine mtayashughulikia baadae
 
...Kila la heri..Ila umuonyeshe mapenzi ya hali ya juu hata siku moja asijutie maamuzi yake. Si ajabu kwao wakamtema kabisa wewe ndio ukawa Baba/Mama/Ndugu na pia mumewe. Hivyo umpende kupindukia, umjali kwa kila hali na umpe heshima za hali ya juu. Kila la heri kwenye harusi yenu na maisha ya ndoa.

Habariza jioni wanajamii? Kutokana na kutokuwa na msimamo hawa wakwe ie walezi wa gf wangu,mi naona tufunge ndoa bila ya baraka zao,kisa tofauti za din ie mi muislamu na gf wangu mkristo
Nilipeleka posa wakakubali bila kuainisha masharti juu ya hizi tofauti ingawa binti karidhia kubadiki dini
sasa mambo bam bam na kadi zimeshasambazwa na wengine wamewasilisha michango yao ndiowamemuita mwenzangu wanasema hawapo radhi kwa yeye kusilimu na hivyo endapo yeye akisilimu ajijue yeye.
Mi kila nikitizama naona nimeshafika mbali sana katika haya maandalizi kucancel hii shughuli hnakuwa far beyond imposibo. Tunachukua maamuzi magumu japo upande mwingine tupo njia panda. Plz give constructive advice/contribution.
 
Habariza jioni wanajamii? Kutokana na kutokuwa na msimamo hawa wakwe ie walezi wa gf wangu,mi naona tufunge ndoa bila ya baraka zao,kisa tofauti za din ie mi muislamu na gf wangu mkristo
Nilipeleka posa wakakubali bila kuainisha masharti juu ya hizi tofauti ingawa binti karidhia kubadiki dini
sasa mambo bam bam na kadi zimeshasambazwa na wengine wamewasilisha michango yao ndiowamemuita mwenzangu wanasema hawapo radhi kwa yeye kusilimu na hivyo endapo yeye akisilimu ajijue yeye.
Mi kila nikitizama naona nimeshafika mbali sana katika haya maandalizi kucancel hii shughuli hnakuwa far beyond imposibo. Tunachukua maamuzi magumu japo upande mwingine tupo njia panda. Plz give constructive advice/contribution.

Huwa naamini hakuna tatuzi ya matatizo, especially kama haya bila ya kuongea.
Kaeni chini, wazazi wa pande zote mbili muzungumze, ili suala ni la utashi tuu wa mtu.
Maandalizi mema kaka.
 
ndugu hapo hakuna msingi mzuri wa imani zenu. hakuna maandalizi na mafundisho kilichopo ni kadiU na showing of!!!!!! ! ndoa ya kweli hujengwa kwa matofari ya zege na msingi wake ni chuma tu . kubadili dini ni ishara ya kuwa legelege na huyo binti hatakusaidia kiimani kama anabadilika hivyo, na wewe sio muumini wa kweli kwani hukuipendi kilichochako bali unabadili vingine kwa kisingizio fulani.
kijana wangu , funguka, ndoa haiko kwenye mipango na vikao vya watu.muonekano na sifa, ndoa ni maisha.
Ndoa hubeba misingi yote ya maisha yenu,toka kuamuka asubuhi hadi kulala kwenu,kula chakula hadi kufa na njaa,kuuguza hospitarini hadi kuzikana, kulea katoto hadi kutunza watoto,na mwisho Mungu hupendezwa nanyi na kizazi chenu na watu wenu na wanyama wenu yaani utajili wa vitu.
 
hii ndio sahihi mkuu...ili kuwaziba midomo hao wanaopinga ndoa hiyo, mtoa mada nyie fungeni kwanza ya bomani,halafu hali ya hewa ikitulia familia ikishawazoea ndio mnafunga yenu ya kiislam kimya kwa raha zenu ili mumfurahishe Mungu wenu maana hiyo ya bomani hakuna mkono wa Mungu pale. Hongera sana ila pia nakushauri uwe na subira na kumuomba Mungu awafanyie wepesi katika mtihani huu Inshaallah!!
fungeni serikalini kwanza
mtafanya ya dini nyie wawili badae.
 
oaneni bomani kama vipiiiiii

Hapana msifanye hivyo, kama nyie wawili mmeridhika oaneni kwa imani mliyoichagua kwa sababu mwisho wa siku nyie ndo mtaenda kuishi wawili na wenyewe hawatakuwepo, halafu hizi dini hazitupeleki mbinguni ni matendo yako hapa duniani na uhusiano wako na Mungu, tafuta furaha yako.
 
Back
Top Bottom