Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Habari za ujenzi wa taifa wanajamii??
Nadhani ijumaa ilikuwa ni njema sana kwenu. kwanza nitangulize shukurani kwenu wote maana tangu nijiunge na jukwaa limekuwa na msaada mkubwa saana kwangu katika nyanja mbalimbali kiasi cha kuwa kimbilio langu na mengi najifunza daily. Tukiachana na hilo sasa naomba kuhit nail on the head. Nimekuwa katika mahusiano na huyu mchumba wangu kwa karibu miaka 4 sasa na tulikutana chuoni wakati wa graduation yangu wakati huo yeye akiwa mwaka wa 1.
Nilivutiwa nae sana kwa haiba yake na utaratibu wake na nikwa na imani kuwa yeye ndie wife material nilekuwa namuhitaji kuwa mama wa familia yangu. kwa kweli nami bila hiyana niilitangaza nia yangu ya dhati kwake. kwanza hakuwa ni mtu wa kuniamini kabisaa ila nilivoendelea kuwa king'ang'anizi kwake siku moja nilipoenda chuoni kumtembelea na kujua kafikia wapi na majibu ya ombi langu akaniomba tutafute sehemu anambie ukweli ambao hata hivyo nisingeufurahia na alihisi kuwa na alihisi kuwa baada ya pale ingekuwa mwisho wetu kukutana tena.
Kwa kweli moyo ulienda mbio sana kwa kujua napewa makavu labda kutokana na kuwa king'ang'anizi. so tulikaa kimbweta kimoja cha pekeetu ndipo alipoanza kufunguka kuwa hawezi kuwa na mimi kwa sababu ya tofauti fulani. akendelea kuwa yeye pale alipo ana matatizo mengi ambayo haoni mtu wa kushare nae ila the only thing that she hope 4 her future life is her education only. so nilimuuliza kuwa kwa nini matatizo yake hawezishare na mimi na pia??? akasema kuwa yeye ana mtoto ambae alimpata akiwa form 3 na hivyo by then ikawa ndio mwisho wa elimu yake kwa kipindi kile.
Akaendelea kuwa hata baba wa mtoto ambae alikua ni mwanafunzi mwenzie wa kidato kimoja nae pia alimkana kabisa na hawajakuwa na mawasiliano since then. Upande mwingine maisha yake ya nyumbani yalibadilika sana yakawa ni kama living hell kwake kwani familia nzima ilimtenga na hakuwa na thamani tena ila tu rafiki yake mmoja wa kike ndio alikua wa msaada pekee kwake. hivyo huyo rafikiye aliyekuwa ni mhudumu katika hotel moja kubwa tu hapa jijini aliamua kumsaidia baada ya yeye mwenyewe shule kumshinda kwa kufeli mara kwa mara so akaamua kumchangia baadhi ya gharama za masomo kama QT huku nae (mchumba wangu sasa) akifanya kazi kwa mama mmoja wa kipare kwa ujira kidogo kudarizi mashuka na vitambaa vya ndani. kuna mengi sana ya kusikitisha alinisimulia ila kama nikiweka yoote uzi unaweza kupoteza uelekeo so mi nasummarize tu kimtindo.
So ni katika hayo mahangaiko yake bila msaada wowote kutoka katika familia aliweza kupata credit zote za form 4 na baadae alijiunga na center nyingine ya masomo ya A level kwa kuunga unga hivyo hivyo na alipata division three ila bahati ikawa kwake akapata chuo kama nilivyomuona. Back to topic after that background ilikuwa yeye tangu alipopata mimba hakuwa na imani na mwanaume wa aina yoyote ile na wala hakuwa na tegemeo lingine zaidi ya elimu so her whole attention was on education and nothing else. So akanambia kuwa hadhi yake imeshuka kwa yeye kuwa na mtoto na haoni kama kuna mwanaume atamkubali yeye due to the fact that ana mtoto na hapendi kumbebesha mtu mzigo wake kwani pia yeye ni yatima so alikulia kwa shangazi tu hadi hayo yanamkuta!!
Kwa kweli nilimwambia ukurasa wangu wa mapenzi naufungua kwa pale nilipomkuta na shida zake zote nitajitahidi kwa kadiri niwezavyo (japokuwa bado sikuwa na kazi by then ) na hata mwanae kama akinipa nafasi nitamlea kama mwanangu wa damu. kuhusu mtoto yeye muda wote huu yupo kijijini kwa bibi so hata mimi bado sijamuona zaidi ya picha tu. so baada ya ushawishi sana ndio nikapewa nafasi.kweli tulipendana na bado tunapendana sana tulianza mahusiano na mi wiki mbili mbele niliitwa interview na kupata kazi. kweli nilimtunza miaka yake yote chuoni kwani mkopo alipewa 60% so the rest nilikuwa naicover mwenyewe pamoja na matumizi yake mengine pia na ameishi kwa furaha maisha yote ya chuo jambo ambalo limeongeza upendo wake kwangu. here comes an issue now,mwaka huu mwezi wa 5 nilipeleka barua ya posa kwao na wiki 3 mbele ilijibiwa vizuri kuwa nimekubaliwa posa yangu ila tu mshenga alinambia kuwa walihoji utayari wa mimi kuishi na mtoto huyo na kuhusu dini ambayo yeye amekubalinifuata mimi.
Walionesha kama kutopendezewa kimtindo ila ndio hivyo wakakubali hiyo posa na majibu ninayo.Baada ya majibu tulipendekeza tarehe ya kupeleka mahari na mimi nikafunga safari hadi kwetu kupeleka taarifa ya nilipofikia na mategemeo ya kupeleka mahari.so na nyumbani kulingana nazile tarehe na jinsi ambavyo nilitegemea kufunga hiyo ndoa wakaseti tarehe za vikao tarehe baada ya tarehe yetu ya mahari. ilipokaribia wakasema kuwa hawatopokea wako bize na maandalizi ya harusi ya ndugu yao mwingine anaoa so hadi harusi ipite,hiyo ni wiki 3 mbele,wakati huo mikakati nyumbani ilikuwa inaenda kama ilivoppangwa na ukumbi ukalipiwa ili kuwahi tarehe tajwa ili mtu mwingine asijetuzidi.
Baada ya wiki 3 na harusi kupita wakasema kuwa kuna baadhi ya ndugu zao kutika bush hawajaja so inabidi kungoja tena,sasa hapo ni kwa muda usiojulikana na wakati huo home tayari maandalizi ya kikao cha kwanza cha kamati yamekamilika na jumamosi watu wanakaa. kilichonisukuma hadi kuandika uzi huu ni kuwa leo usiku my GF baada ya kudodosa hapa na pale ni kuwa ndugu wanatupiana mpira na kuwa yale maamuzi ya majibu ya posa yalifanywa na ndugu wachache tu so wengine wamerise from nowhere wakilalamika kutengwa katika hilo jambo na hivyo haijulikani hatima ya yote hayo ni nini na baadhi wanasema hawabariki hilo jambo.nipo njia panda kwa mambo yafuatayo;
NB; habari njema ni kuwa matokeo yake ya chuo yote yametoka leo na amefaulu vizuri akiwa na degree GPA ya 4.2 ila ilikuwa ni furaha ya muda mfupi kabla hili bomu kulipuka Natanguliza shukurani za dhati na samahani sana kwa uzi mrefu namna hii.
Nadhani ijumaa ilikuwa ni njema sana kwenu. kwanza nitangulize shukurani kwenu wote maana tangu nijiunge na jukwaa limekuwa na msaada mkubwa saana kwangu katika nyanja mbalimbali kiasi cha kuwa kimbilio langu na mengi najifunza daily. Tukiachana na hilo sasa naomba kuhit nail on the head. Nimekuwa katika mahusiano na huyu mchumba wangu kwa karibu miaka 4 sasa na tulikutana chuoni wakati wa graduation yangu wakati huo yeye akiwa mwaka wa 1.
Nilivutiwa nae sana kwa haiba yake na utaratibu wake na nikwa na imani kuwa yeye ndie wife material nilekuwa namuhitaji kuwa mama wa familia yangu. kwa kweli nami bila hiyana niilitangaza nia yangu ya dhati kwake. kwanza hakuwa ni mtu wa kuniamini kabisaa ila nilivoendelea kuwa king'ang'anizi kwake siku moja nilipoenda chuoni kumtembelea na kujua kafikia wapi na majibu ya ombi langu akaniomba tutafute sehemu anambie ukweli ambao hata hivyo nisingeufurahia na alihisi kuwa na alihisi kuwa baada ya pale ingekuwa mwisho wetu kukutana tena.
Kwa kweli moyo ulienda mbio sana kwa kujua napewa makavu labda kutokana na kuwa king'ang'anizi. so tulikaa kimbweta kimoja cha pekeetu ndipo alipoanza kufunguka kuwa hawezi kuwa na mimi kwa sababu ya tofauti fulani. akendelea kuwa yeye pale alipo ana matatizo mengi ambayo haoni mtu wa kushare nae ila the only thing that she hope 4 her future life is her education only. so nilimuuliza kuwa kwa nini matatizo yake hawezishare na mimi na pia??? akasema kuwa yeye ana mtoto ambae alimpata akiwa form 3 na hivyo by then ikawa ndio mwisho wa elimu yake kwa kipindi kile.
Akaendelea kuwa hata baba wa mtoto ambae alikua ni mwanafunzi mwenzie wa kidato kimoja nae pia alimkana kabisa na hawajakuwa na mawasiliano since then. Upande mwingine maisha yake ya nyumbani yalibadilika sana yakawa ni kama living hell kwake kwani familia nzima ilimtenga na hakuwa na thamani tena ila tu rafiki yake mmoja wa kike ndio alikua wa msaada pekee kwake. hivyo huyo rafikiye aliyekuwa ni mhudumu katika hotel moja kubwa tu hapa jijini aliamua kumsaidia baada ya yeye mwenyewe shule kumshinda kwa kufeli mara kwa mara so akaamua kumchangia baadhi ya gharama za masomo kama QT huku nae (mchumba wangu sasa) akifanya kazi kwa mama mmoja wa kipare kwa ujira kidogo kudarizi mashuka na vitambaa vya ndani. kuna mengi sana ya kusikitisha alinisimulia ila kama nikiweka yoote uzi unaweza kupoteza uelekeo so mi nasummarize tu kimtindo.
So ni katika hayo mahangaiko yake bila msaada wowote kutoka katika familia aliweza kupata credit zote za form 4 na baadae alijiunga na center nyingine ya masomo ya A level kwa kuunga unga hivyo hivyo na alipata division three ila bahati ikawa kwake akapata chuo kama nilivyomuona. Back to topic after that background ilikuwa yeye tangu alipopata mimba hakuwa na imani na mwanaume wa aina yoyote ile na wala hakuwa na tegemeo lingine zaidi ya elimu so her whole attention was on education and nothing else. So akanambia kuwa hadhi yake imeshuka kwa yeye kuwa na mtoto na haoni kama kuna mwanaume atamkubali yeye due to the fact that ana mtoto na hapendi kumbebesha mtu mzigo wake kwani pia yeye ni yatima so alikulia kwa shangazi tu hadi hayo yanamkuta!!
Kwa kweli nilimwambia ukurasa wangu wa mapenzi naufungua kwa pale nilipomkuta na shida zake zote nitajitahidi kwa kadiri niwezavyo (japokuwa bado sikuwa na kazi by then ) na hata mwanae kama akinipa nafasi nitamlea kama mwanangu wa damu. kuhusu mtoto yeye muda wote huu yupo kijijini kwa bibi so hata mimi bado sijamuona zaidi ya picha tu. so baada ya ushawishi sana ndio nikapewa nafasi.kweli tulipendana na bado tunapendana sana tulianza mahusiano na mi wiki mbili mbele niliitwa interview na kupata kazi. kweli nilimtunza miaka yake yote chuoni kwani mkopo alipewa 60% so the rest nilikuwa naicover mwenyewe pamoja na matumizi yake mengine pia na ameishi kwa furaha maisha yote ya chuo jambo ambalo limeongeza upendo wake kwangu. here comes an issue now,mwaka huu mwezi wa 5 nilipeleka barua ya posa kwao na wiki 3 mbele ilijibiwa vizuri kuwa nimekubaliwa posa yangu ila tu mshenga alinambia kuwa walihoji utayari wa mimi kuishi na mtoto huyo na kuhusu dini ambayo yeye amekubalinifuata mimi.
Walionesha kama kutopendezewa kimtindo ila ndio hivyo wakakubali hiyo posa na majibu ninayo.Baada ya majibu tulipendekeza tarehe ya kupeleka mahari na mimi nikafunga safari hadi kwetu kupeleka taarifa ya nilipofikia na mategemeo ya kupeleka mahari.so na nyumbani kulingana nazile tarehe na jinsi ambavyo nilitegemea kufunga hiyo ndoa wakaseti tarehe za vikao tarehe baada ya tarehe yetu ya mahari. ilipokaribia wakasema kuwa hawatopokea wako bize na maandalizi ya harusi ya ndugu yao mwingine anaoa so hadi harusi ipite,hiyo ni wiki 3 mbele,wakati huo mikakati nyumbani ilikuwa inaenda kama ilivoppangwa na ukumbi ukalipiwa ili kuwahi tarehe tajwa ili mtu mwingine asijetuzidi.
Baada ya wiki 3 na harusi kupita wakasema kuwa kuna baadhi ya ndugu zao kutika bush hawajaja so inabidi kungoja tena,sasa hapo ni kwa muda usiojulikana na wakati huo home tayari maandalizi ya kikao cha kwanza cha kamati yamekamilika na jumamosi watu wanakaa. kilichonisukuma hadi kuandika uzi huu ni kuwa leo usiku my GF baada ya kudodosa hapa na pale ni kuwa ndugu wanatupiana mpira na kuwa yale maamuzi ya majibu ya posa yalifanywa na ndugu wachache tu so wengine wamerise from nowhere wakilalamika kutengwa katika hilo jambo na hivyo haijulikani hatima ya yote hayo ni nini na baadhi wanasema hawabariki hilo jambo.nipo njia panda kwa mambo yafuatayo;
- Je tufanye tough decision sisi kama sis kuwa vitu kama mkaja wa mama apeleke mwenyewe kijijini kwa bibi na mahari abaki nayo yeye ili tuendelee na masuala mengine ambayo tayari yapo in motion ie taratibu za harusi hadi harusi yenyewe?
- Je nifanye maamuzi mengine magumu zaidi kwa kuwasimisha watu wa nyumbani na hayo maandalizi waliofikia hadi hapo kitakapoeleweka despite ya cost ambazo tumeingia? au nifanyeje? am stranded ndugu zangu
NB; habari njema ni kuwa matokeo yake ya chuo yote yametoka leo na amefaulu vizuri akiwa na degree GPA ya 4.2 ila ilikuwa ni furaha ya muda mfupi kabla hili bomu kulipuka Natanguliza shukurani za dhati na samahani sana kwa uzi mrefu namna hii.