Tunafunga na kuuza vioo vya TV

Hizi ndio IQ za wachawi sasa siku zote ulikuwa wapi??[emoji23]nimekuomba fact za document lini umekwenda china? Lini umeleta Accessories za TV? Km auwezi kuweka hapa ni PM or njoo whtsappp 0676744827 umeongea vitu vingi sana naomba Fact tu lengo na dhumuni uniletee wadau wa kununua item kwa jumla kwa mzigo wangu uliokuwa njiani kwa sasa maana jamaa upo nondo sana since 1994 unabadilisha display [emoji23]
Bei zake sio Rafiki kama unashida ya kioo cha tv ni PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jamaa wamezoea siasa ktk kila jambo[emoji23] wana stress tu mtu amenunua TV inch 32 kwa 260000/= mpya full box mimi namwambia Tv hio hio ukiivunja kioo nakuwekea kwa laki 3[emoji23][emoji23][emoji23] wamenuna hao mpka CHAWA WA MABOSS WA TOWN WAMEKUJA KUJIMWAMBAF HAPA....sasa mimi nakosa gani sio kosa langu jamani bei ndio hizo [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu niwekee basi na bei za display zangu hapo kuanzia 32...umeziona juu hapo [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF is full of pessimists
 
Mkuu kwenda China ndio unajua bei kila display? Yaani wafanyabiashara mnaoenda China na Dubai mnahisi mnajua kila kitu kinachouzwa hapa mjini.
 
Umeongea point chief humu wengi ni watoto wanaoanza maisha na wengine kula kulala kwa ndugu/shemeji zao.

 
Mkuu CHAWA tu huyo hana biashara wala aujui biashara hakuna mfanyabiashara mwenye protocol za huyo jamaa ktk biashara za wenzie..mara yeye IT mara yeye sijui nani blah blah blah tu ila hao tunawajua ni machawa tu wa mjini
Mkuu kwenda China ndio unajua bei kila display? Yaani wafanyabiashara mnaoenda China na Dubai mnahisi mnajua kila kitu kinachouzwa hapa mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] bongo uchawi mwingi sana.. Kuna jamaa hapo juu kaponda biashara ya mwenzie alafu akamalizia yeye anauza kwa bei rahisi[emoji23][emoji23]
Sasa si ufungue uzi wako[emoji119][emoji119]

Kazi njema mkuu
 
Halafu unakuta hana hata issue town [emoji23][emoji23][emoji23] chawa tu anashinda masikani ila kila kitu anajua yeye
[emoji23][emoji23][emoji23] bongo uchawi mwingi sana.. Kuna jamaa hapo juu kaponda biashara ya mwenzie alafu akamalizia yeye anauza kwa bei rahisi[emoji23][emoji23]
Sasa si ufungue uzi wako[emoji119][emoji119]

Kazi njema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
More elaborations please, Hizi bei ni pamoja na TV Za kichina kama aborder maana nilinunua yangu dukani nchi 32 kwa shillingi 290,000/= sasa iweje niibadilishie kioo tu kwa laki 3.
Izi tv safi sana mm pia na yangu kama hii inatumia adaptor inasemu ya kupunguzia umeme ukija mwingi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok sawa ila watu kama hao ww wapotezee tuu wajibu wenye shida na biashara yako bac...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why nitoe ela nyingi nunua matv ya bei wakati zipo za bei chee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…