Chongolo basil
Member
- Jul 23, 2018
- 14
- 10
Hakuna mtu mwenye akili timamu alitarajia ule mjadala utaleta tija kwa taifa.
Lengo halikua baya, ukurupukaji na kukosa mipango bora na thabiti kulitibua zoeziuu zima.
"Kwenye mazungumzo wao ndio wanaongeza watu ila sisi watu wetu ni wale wale."
Nukuu hii inaweza jhIb isiweView attachment 8454 na maneno yote halisi aliyoyatamka ila ujumbe aliolenga kuutoa kwa umma ulikuwa ni hug unaoptatikana katika mane fo hayo hapo juu.vtt
Good v I don't know how
Wazungu wanasema, "the egC nnd justifies the means."
Anyway,tusikate tamaa land a gun- tutaambuliabiView attachment 845452 walau "Balimi" moja moja kwa kila mdanganyika..
Alafu nimekumbuka.Hivi kuna yoyote alieshitakiwa mpaka sasa kama ambavyo kamati husika zilipendekeza na mkulukukubali mapendekezo yote ya zile kamati?
Wanaume hawajatulipa kitu pamoja na kuwa professor Palamagamba alipewa special treatment kipindi kile ili aokoe jahazi na ji we lipate sifa kem kem
Zipo kontena ngapi?Jamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Makinikia hayapo tena bandarini, sijui ndio yamerudishwa tena mgodini??
Hahahahahaaa!Bora kuvuta tumbaku tu.Subira alishayeya huyo!
Jamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
picha plzJamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
subiri Noah yako kijanaNini kinaendelea sasa juu ya hiyo ishu.!??
Askari wanalinda Makontena sio Makanikia.Jamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume hawajatulipa kitu pamoja na kuwa professor Palamagamba alipewa special treatment kipindi kile ili aokoe jahazi na jiwe lipate sifa kem kem
Mapofesa ni confused guys. Wanaegemea theories tu. Practicalbilty zeroooMaprofesa wsnatumaliza, hawana mipango thabiti na wamejisahau na kuingia kichwa kichwa kwenhe siasa za maji taka na kusahau taaluma zao. Bora sisi mazwazwa tuna chembe ya busara
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lumumba walitarajai lakiniHakuna mtu mwenye akili timamu alitarajia ule mjadala utaleta tija kwa taifa.
Lengo halikua baya, ukurupukaji na kukosa mipango bora na thabiti kulitibua zoezi zima.