Well mkuu,.kuna msemo pia usemao "You Are What You Think"...ni dhahiri kuwa vile tulivyo kama Taifa ni matokeo ya fikara zetu ambazo hizo huja kujidhihirisha kwenye matendo/utendaji(matokeo) wetu,.sasa ni either tunafikiri vyema lakini tujue kuna mamlaka husika za kiutedaji katika Taifa ambazo zinaweza kubadili jema kuwa baya and vice versa na pengine hazitaki iwe hivyo kwa maslahi binafsi au ni uwezo wetu tuu wa kupambanua mambo kwa viwango vya juu kama wanataifa ni mdogo kiasi kupelekea mazuri kuwa machache kuliko mabaya"