Tuna Rais wa Ajabu kweli kweli

Tuna Rais wa Ajabu kweli kweli

Mleta mada ni mpumbavu na mashindoge wa mwisho kabsa!!! Yani ni bonge la popoma haijawahi kutokea!!!!

Nmesoma hata comment za watu hasa wafuasi wake nao wameingia mkenge na hii inazd kudhbtisha jinsi wabongo wanavyojua kukosoa bila hata kufuatilia ukweli!!! Narudia teeena mtoa mada ni hovyo kabsaaaa teeena kwa jina la kizungu ni lusalo lwa nsaji!!! Kwamba nmetumia maneno makali kwa sabab ya dhihaka kwa Rais teeena kubwa saan wakat kilichozungumzwa n ukweli

Ukiangalia weng hum ni wanafiki hadi tunamnafikia mungu wetu kwa kujifanya waumini wazuri kumbe wanafiki wakubwa!!!

Kwel hamsomi biblia teena mtoa mada namba moja

Naomba mkafuatiliale kwenye Bible kuhusu habari za mfalme Herode alipotoa amri kwamba watoto wa kiume wauawe akiwemo yesu je yesu alikimbizwa wapi!??

Naomba management huu uzi ufutwe kwa dhihaka kwa MKUU WA Nchi

Mnisamehe kwa lugha hiyo koz kanikera saana huyu mpuuuzi
 
Back
Top Bottom