Besti licha ya hili yeye kuwa sahihi haindoi kabisa mantiki na dhana we have a serious arrogant and mental shakeup president.Kwa hili yuko sahihi, Yesu alikimbilia Misri Herode alipotoa amri ya kuua watoto wote wa kiume wa miaka miwili kwenda chini.
Besti alishasema kama tukimletea ushenzi yeye ni mshenzi zaidi yetu.Besti licha ya hili yeye kuwa sahihi haindoi kabisa mantiki na dhana we have a serious arrogant and mental shakeup president.
Tatizo la watu ni dogo sana, wanataka kutafuniwa kabisa ndio waelewe.ila alichokiongea kina namna fulani hivi ya ukweli kwani kuna wakati mfalme herode alitaka kumuua yesu akiwa mototo lakini wazazi wake walikwenda kumficha huko misri
Kwa hili yuko sahihi, Yesu alikimbilia Misri Herode alipotoa amri ya kuua watoto wote wa kiume wa miaka miwili kwenda chini.
Yuko sahihi. Nyerere alishindwa kuutekeleza mradi kwa sababu alinyimwa teknoloji kwa kisingiziio cha mazingira! Hata JPM bila kukimbilia Misri au China, mradi huu wa Stieglers Gorge ilikuwa ni ngoma nzito kuweza kuutekeleza! Yuko sahihiSiwezi kushangaa kwa sababu alisema Sadamu Hussen Aliuawa na wananchi wa Libya badala ya GadaffiView attachment 966630
dogo nenda kwenye jukwaa la wadada la ushakunaku.. huku kwa wakubwa hapakufai
Nyie ndo huwa mnasababisha jf wataalam tunai'hack' kwa ajili ya upuuzi kama huu!! Hivi wewe uliyeleta uzi umeisoma vzr baibo na kuielewa?! Hivi Mfalme Herode aliposema watoto wa kiume wauawe akiwepo Yesu unajua alikimbiziwa wapi?! Mods huu ni dhihaka kwa Mh. Rais kwanza hauna ukweli halafu watu wanaendelea kumdhihaki rais pasipo na ukweli wa jambo lenyewe. Nashauri uzi huu ufutwe haraka!!Siwezi kushangaa kwa sababu alisema Sadamu Hussen Aliuawa na wananchi wa Libya badala ya GadaffiView attachment 966630
Kwani misri na Kuwait wapi mbaliNyie ndo huwa mnasababisha jf wataalam tunai'hack' kwa ajili ya upuuzi kama huu!! Hivi wewe uliyeleta uzi umeisoma vzr baibo na kuielewa?! Hivi Mfalme Herode aliposema watoto wa kiume wauawe akiwepo Yesu unajua alikimbiziwa wapi?! Mods huu ni dhihaka kwa Mh. Rais kwanza hauna ukweli halafu watu wanaendelea kumdhihaki rais pasipo na ukweli wa jambo lenyewe. Nashauri uzi huu ufutwe haraka!!
Mbali kutokea wapi?!Kwani misri na Kuwait wapi mbali