Tuna Rais wa Ajabu kweli kweli

Tuna Rais wa Ajabu kweli kweli

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Siwezi kushangaa kwa sababu alisema Sadamu Hussen Aliuawa na wananchi wa Libya badala ya Gadaffi
20181213_093244.jpg
 
Huyu bwana akiongeaga bila kusoma lazima akosee!
 
Siwezi kushangaa kwa sababu alisema Sadamu Hussen Aliuawa na wananchi wa Libya badala ya GadaffiView attachment 966630
Ameongea kinabii zaidi, si unajua ana roho ya kifalme hivyo kapata roho ya kinabii na alizungukwa na manabii na viongozi wa dini wengi hivyo, alishukiwa na upako wa roho mtakatifu!
 
Jana mm nimejiuliza sana huyu mzeee hivi huwa anatumia vodka kabla hajaaanza kuongea au tena mbele ya viongozi wa dini lakini labda anayesu wake ila sio yule mnazareti ninaye loop
 
HAHAHAAAA! SAADAM RAIS WA KUWAIT.
YESU ALIUWAWA NA WAMISRI NCHI YA VIRAZA USIPIME
 
Ameongea kinabii zaidi, si unajua ana roho ya kifalme hivyo kapata roho ya kinabii na alizungukwa na manabii na viongozi wa dini wengi hivyo, alishukiwa na upako wa roho mtakatifu!
Umesahau alisema yeye ndie atakuwa kiongozi wa malaika!
 
Back
Top Bottom