Tuna deliver biriani kwa 5000Tsh ukiwa dar

Tuna deliver biriani kwa 5000Tsh ukiwa dar

fareed uziel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
667
Reaction score
721
Tunakuletea biriani safi na nzuri ukiwa dar popote kwa elfu tano(5000) kwa idadi yoyote..

Ukihitaji Wasiliana na mimi kwa namba hii 0719390083.


1449328052096.jpg 1449328068896.jpg

Hakika hutojutia
 
Ebwana eeh kitu kitam kinanukia, 5000 hela ndogo sana, haya wale ma bachelor
 
Peleka TRA au TPA sie wengine Hiyo buku 5 ndio tunalipwa kwa siku bado haujatoan nauli.
 
Ubunifu mzuri. Ongezeni aina za vyakula, muwekee matunda pamoja na vinywaji (kwa watakao hitaji).

Pia mtoe punguzo kwa anae agizia Mzigo mkubwa.

All the best
 
Hiyo elfu tano ni gharama ya kudeliver au ndo pamoja na gharama ya biriani?
 
Back
Top Bottom