Tuna aina ya viongozi ambao Hawawezi kuongea na wananchi angalau hata kwa nusu saa pasipo kusoma notisi walizoandaliwa!

Tuna aina ya viongozi ambao Hawawezi kuongea na wananchi angalau hata kwa nusu saa pasipo kusoma notisi walizoandaliwa!

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,752
Reaction score
4,800
Asalam Aleykum wana jukwaa.

Leo nimeona niongelee hili suala la baadhi ya viongozi ambao kwa upande wangu nawaona kama hawana uwezo na wengi wana nafasi walizo nazo huenda kutokana na kubebwa na mfumo au kikundi cha watu au mtu fulani.

Hivi unakuwaje kiongozi mkubwa halafu unachoweza kuongea na watu wako pasipo kusoma ni ile kutoa salamu tu na kutaja majina yako?

Binafsi huwa nakosa kabisa hata hamu ya kusikiliza hotuba za hivyo maana huwa hazina mvuto.

Hivi kweli viongozi wetu wa sasa hawawezi kupita kwenye nyayo za watangulizi wao kama kina JK 1&2, JPM n.k.

Yote kwa yote, mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi. Nasubiri kwa hamu kuona kampeni zitakavyokuwa.

Ombi langu kwa raia wenzangu, naomba tuangalie wale wanaoongea kutoka moyoni kwa uchungu na uzalendo kama alivyokuwa Hayati JPM, 2015.

Napenda watu kaliba ya Mh. John Heche, Mh. Tundu Antipas Lissu, Mh. Humphrey Polepole, Mh. Jaffo, Wakili Msomi Mwabukusi, Pdr. Kitima, Ask. Mwanamapinduzi n.k.

Wengine naona wamepoa sana kama maandazi ya mhogo yaliyolala.

Jamani mnapokuja kuongea na sisi raia wenu, wenye changamoto nyingi za kila namna, basi changamkeni ili tusisinzia wekati mnatuhutubia. Tufurahie hata kwa kuwasikiliza tu.
 
Au kina Aggrey Mwanri, Paul Makonda, Ask. Gwajima, John Pambalu, Wakili Mahinyila n.k.
Tunataka viongozi wenye kaliba ya hao.
Siyo hawa wanaosoma, halafu hakuna hata cha utekelezaji wala nin!
Bora udanganywe kwa maneno, kuliko kudanganywa kwa maandishi tena yanayoboa!
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa tuna idadi kubwa sana ya viongozi ambao leo hii wakipewa mtihani wa kidato cha nne wa somo la Civics yaani uraia watashindwa kufaulu huo mtihani, yaani kupata alama juu ya D🐼
 
Asalam Aleykum wana jukwaa.

Leo nimeona niongelee hili suala la baadhi ya viongozi ambao kwa upande wangu nawaona kama hawana uwezo na wengi wana nafasi walizo nazo huenda kutokana na kubebwa na mfumo au kikundi cha watu au mtu fulani.

Hivi unakuwaje kiongozi mkubwa halafu unachoweza kuongea na watu wako pasipo kusoma ni ile kutoa salamu tu na kutaja majina yako?

Binafsi huwa nakosa kabisa hata hamu ya kusikiliza hotuba za hivyo maana huwa hazina mvuto.

Hivi kweli viongozi wetu wa sasa hawawezi kupita kwenye nyayo za watangulizi wao kama kina JK 1&2, JPM n.k.

Yote kwa yote, mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi. Nasubiri kwa hamu kuona kampeni zitakavyokuwa.

Ombi langu kwa raia wenzangu, naomba tuangalie wale wanaoongea kutoka moyoni kwa uchungu na uzalendo kama alivyokuwa Hayati JPM, 2015.

Napenda watu kaliba ya Mh. John Heche, Mh. Tundu Antipas Lissu, Mh. Humphrey Polepole, Mh. Jaffo, Wakili Msomi Mwabukusi, Pdr. Kitima, Ask. Mwanamapinduzi n.k.

Wengine naona wamepoa sana kama maandazi ya mhogo yaliyolala.

Jamani mnapokuja kuongea na sisi raia wenu, wenye changamoto nyingi za kila namna, basi changamkeni ili tusisinzia wekati mnatuhutubia. Tufurahie hata kwa kuwasikiliza tu.
Inakusaidia nini kuchangamka kwa hotuba. Fanya kazi broo, hotuba hazileti fedha wala chakula.
 
Asalam Aleykum wana jukwaa.

Leo nimeona niongelee hili suala la baadhi ya viongozi ambao kwa upande wangu nawaona kama hawana uwezo na wengi wana nafasi walizo nazo huenda kutokana na kubebwa na mfumo au kikundi cha watu au mtu fulani.

Hivi unakuwaje kiongozi mkubwa halafu unachoweza kuongea na watu wako pasipo kusoma ni ile kutoa salamu tu na kutaja majina yako?

Binafsi huwa nakosa kabisa hata hamu ya kusikiliza hotuba za hivyo maana huwa hazina mvuto.

Hivi kweli viongozi wetu wa sasa hawawezi kupita kwenye nyayo za watangulizi wao kama kina JK 1&2, JPM n.k.

Yote kwa yote, mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi. Nasubiri kwa hamu kuona kampeni zitakavyokuwa.

Ombi langu kwa raia wenzangu, naomba tuangalie wale wanaoongea kutoka moyoni kwa uchungu na uzalendo kama alivyokuwa Hayati JPM, 2015.

Napenda watu kaliba ya Mh. John Heche, Mh. Tundu Antipas Lissu, Mh. Humphrey Polepole, Mh. Jaffo, Wakili Msomi Mwabukusi, Pdr. Kitima, Ask. Mwanamapinduzi n.k.

Wengine naona wamepoa sana kama maandazi ya mhogo yaliyolala.

Jamani mnapokuja kuongea na sisi raia wenu, wenye changamoto nyingi za kila namna, basi changamkeni ili tusisinzia wekati mnatuhutubia. Tufurahie hata kwa kuwasikiliza tu.
Hata mimi nilisha acha,

Hiyo kwakinyakyusa tunaita 'expecting results from what you know'

Kutegemea matokeo chanya kwenye jambo unalo lijua ni sawa na kutegemea kupata pisi Kali pasipokuwa na pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom