caxton
Senior Member
- May 8, 2015
- 145
- 157
Wakuu,
Kuna staff hapa kwenye shirika letu ni mke wa mtu ameshikwa live akifanya mapenzi na jamaa mmoja hivi ambae ni mume wa mtu pia ofisini bahati mbaya aliewashika ni bosi wao ambae ni Raia wa Canada. Walisubiri staff wengine waondoke ndipo wakaanza kufanya ndani ya chumba cha ofisi, unfortunately huyu mCanada akarudi ofisini alisahau kitu akaona taa zinawaka kwenye chumba kingine akaamua aangalie kama bado kuna mtu, ndio akawafuma wakifanya zinaa.
Kwa sasa tumewasimamisha wakati uchunguzi ukiendelea kama sheria za kazi zinavyotaka na policy ya shirika pia, tayari walishaleta barua za kujieleza. Hivi karibuni mume wa huyu mama kaja kuniona kupata undani wa tatizo la mkewe, alitaka kujua ni kwanini tumemsimamisha mkewe kazi na tumetumia vigezo gani.
Bahati mzuri/mbaya malalamiko yake ameweka kwenye maandishi kwa njia ya barua ni mzee wa kikoloni hivi very conservative. Nikamwambia nitakujibu kwa barua pia utaikuta kwa secretary siku flani.Sasa wakuu miim kama Human Resources business partner wa hapa kwetu nalazimika kutunza siri za staff, tumelichanganua na wenzangu wakadai hatuwezi kumficha mume jambo zito kama hili.
Hivyo bado sijaridhika na majibu ya viongozi wenzangu hivyo nije kwenu wana JamiiForums kupata opinion zaidi maana humu nna uhakika kuna viongozi maofisini na kuna wasomi wengi tunaweza kuchanganua kwa pamoja suala hili. Mara ya mwisho nilikuwa na tatizo la kikazi kama mjuavyo idara ya Human Resources ina changamoto nyingi nikaja hapa kuomba ushauri nikapata msaada mkubwa sana.
Naomba nisieleweke vibaya, yapo mambo ya kikazi yana vikao vyake hayahitaji kuja hapa ila kuna yale ya kikazi ambayo yamekaa kijamii kama hili yenyewe nimeamua niwe nawashirikisha kwa mawazo.
Swali;
Nimjibu mume kwamba mkewe alishikwa akifanya mapenzi ofisini?
Mkewe kaja kazini Jana na kunipigia magoti kwamba nimdanganye mumewe kuwa amesimashwa kaingizia kampuni hasara.Kwamba mimi ndio nimeshikilia ndoa yake kwa sasa, kwamba akiachika na umri huo ataenda wapi?Situation ni very tricky na mwisho sijui EXCOM itaamua nini kuhusu hawa watu wawili
Your opinion please
NB:
Kama wahusika wa hili sakata wamo humu ndani, I do regret in advance for inconvenience caused in one way or another.
Kuna staff hapa kwenye shirika letu ni mke wa mtu ameshikwa live akifanya mapenzi na jamaa mmoja hivi ambae ni mume wa mtu pia ofisini bahati mbaya aliewashika ni bosi wao ambae ni Raia wa Canada. Walisubiri staff wengine waondoke ndipo wakaanza kufanya ndani ya chumba cha ofisi, unfortunately huyu mCanada akarudi ofisini alisahau kitu akaona taa zinawaka kwenye chumba kingine akaamua aangalie kama bado kuna mtu, ndio akawafuma wakifanya zinaa.
Kwa sasa tumewasimamisha wakati uchunguzi ukiendelea kama sheria za kazi zinavyotaka na policy ya shirika pia, tayari walishaleta barua za kujieleza. Hivi karibuni mume wa huyu mama kaja kuniona kupata undani wa tatizo la mkewe, alitaka kujua ni kwanini tumemsimamisha mkewe kazi na tumetumia vigezo gani.
Bahati mzuri/mbaya malalamiko yake ameweka kwenye maandishi kwa njia ya barua ni mzee wa kikoloni hivi very conservative. Nikamwambia nitakujibu kwa barua pia utaikuta kwa secretary siku flani.Sasa wakuu miim kama Human Resources business partner wa hapa kwetu nalazimika kutunza siri za staff, tumelichanganua na wenzangu wakadai hatuwezi kumficha mume jambo zito kama hili.
Hivyo bado sijaridhika na majibu ya viongozi wenzangu hivyo nije kwenu wana JamiiForums kupata opinion zaidi maana humu nna uhakika kuna viongozi maofisini na kuna wasomi wengi tunaweza kuchanganua kwa pamoja suala hili. Mara ya mwisho nilikuwa na tatizo la kikazi kama mjuavyo idara ya Human Resources ina changamoto nyingi nikaja hapa kuomba ushauri nikapata msaada mkubwa sana.
Naomba nisieleweke vibaya, yapo mambo ya kikazi yana vikao vyake hayahitaji kuja hapa ila kuna yale ya kikazi ambayo yamekaa kijamii kama hili yenyewe nimeamua niwe nawashirikisha kwa mawazo.
Swali;
Nimjibu mume kwamba mkewe alishikwa akifanya mapenzi ofisini?
Mkewe kaja kazini Jana na kunipigia magoti kwamba nimdanganye mumewe kuwa amesimashwa kaingizia kampuni hasara.Kwamba mimi ndio nimeshikilia ndoa yake kwa sasa, kwamba akiachika na umri huo ataenda wapi?Situation ni very tricky na mwisho sijui EXCOM itaamua nini kuhusu hawa watu wawili
Your opinion please
NB:
Kama wahusika wa hili sakata wamo humu ndani, I do regret in advance for inconvenience caused in one way or another.