Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
... yaani unashindwa kufanya utabiri rahisi namna hiyo?Shida ya watu aina ya Humphrey Polepolr ni kwamba wao hawajali kuhusu utambulisho wao, wanachoangalia ni manufaa binafsi tu. Ndio maana kuna Polepole wa Tume ya Katiba ya Warioba, huyo ndio OG, kabla haja mutate na kuwa Polepole wa Magufuli. Sasa hivi tuna Polepole wa Samia. Hakuna ajuaye Polepole atasimamia nini baada ya 2025. Hana tofauti na kirusi cha korona. Ni wa kuogopwa kama ukoma
Dip a spoon in shit, then clean it with all the soap in the world, ... and even heat it red hot, but still I won't, knowingly, eat using that spoon! .... THAT SPOON IS POLEPOLE!Angalia hoja yake, si chuki zenu binafsi
Kumbuka hoja zake zake zinahubiriwa CCM, CHADEMA, MISIKITINI na MAKANISANI
... A FEW CITIZENS HANDPICKED BY JIWE!Kifo Cha JPM ni pigo kwa Raia waTaifa hili,
Raia wa Nchi hii wamechanganyikiwa
RIP JPM
Shetani ana wivu pia, yaani hataki kuzidiwa UOVU!Unasema tuwe wakweli, unaishia kuwa muongo!
Ni shetani gani anasita kuunga mkono mtu mwenye historia mbaya?
Labda ni shetani wa kabila lenu!
LOWASSA aliungwa mkono na Chadema
HAMZA aliungwa mkono na CCM
Huyu hata kidole simuungi. Hafai. Ni mchumia tumbo na msaka ngawira ambaye sishangai kumuona akifanya umalaya wa kisiasa.Waungwana Asalam aleykum!
Nimemfuatilia ndugu yangu Humphrey Polepole kwenye darasa lake la uongozi kwenye utube, nami nimebaini yakuwa anafanya Jambo jema Sana kwa Taifa.
Naamini mutakubaliana na Mimi kuwa elimu ni Jambo la msingi Kati ya Mambo muhimu tunayohitaji Kama Taifa.
Ndugu Humphrey Polepole anatoa mada mzuri za elimu na anapata uungwaji mkono na watu wengi
Inachofurahisha ni kwamba mada zake hazitetei chama chochote, dini yoyote Wala kabila lolote, kitu ambacho ni Nadra kukiona, kwa watoa mada wengi, wengi wao huegemea kutetea maslahi yao, chama Chao au hata dini yao
Kwakweli Taifa litafakari hili na liunge mkono
Kila chama kitengeneze kipindi Cha kuelimisha watu juu ya masuala ya Taifa na chama Chao, kwa wiki au kwa mwezi watu wasikilize na waulize maswali na wapewe ufafanuzi
Wizara mbalimbali, ama ofisi za mikoa, bunge, ama mahakama pia jeshi la polisi, warushe vipindi Kama hivi kuelimisha watu juu ya masuala yote yanayoendelea katika idara zao, watu wasikilize na kuhoji pia
Nimeshangaa watu wanapiga simu kwa Humphrey Polepole wanahoji Mambo ambayo walipaswa kuulizwa watu wengine serikalini, Kama vile ishu za tozo, na chanjo
Cha kushangaza baadhi ya watu wanabeza juhuji hii ya Polepole, eti kwa Nini asifanye enzi za mwendazake.
Hivi mnasahau Mama Samia alinyamaza kimya enzi za jiwe na Sasa anachukuwa hatua kadhaa zilizo kinyume?
JPM pia alinyamaza kimya enzi za JK na akachukuwa hatua alipopata urais?
Ukimfuatia JK, Mkapa, pia Mwinyi utagundua yapo Mambo walikaa kimya, na waliyachukulia hatua walipopata urais
Tatizo la chama changu CCM, wanajua kuunga juhudi kwa anachofanya mwenyekiti tu. Haya ya Polepole yangekuwa ni ubunifu wa Raisi ungeona mapambio, na hekaheka za kila mteule wa Raisi kuunga juhudi!
Jamani, Polepole anaupiga mwingi, Tumuunge mkono!
Waungwana Asalam aleykum!
Nimemfuatilia ndugu yangu Humphrey Polepole kwenye darasa lake la uongozi kwenye utube, nami nimebaini yakuwa anafanya Jambo jema Sana kwa Taifa.
Naamini mutakubaliana na Mimi kuwa elimu ni Jambo la msingi Kati ya Mambo muhimu tunayohitaji Kama Taifa.
Ndugu Humphrey Polepole anatoa mada mzuri za elimu na anapata uungwaji mkono na watu wengi
Inachofurahisha ni kwamba mada zake hazitetei chama chochote, dini yoyote Wala kabila lolote, kitu ambacho ni Nadra kukiona, kwa watoa mada wengi, wengi wao huegemea kutetea maslahi yao, chama Chao au hata dini yao
Kwakweli Taifa litafakari hili na liunge mkono
Kila chama kitengeneze kipindi Cha kuelimisha watu juu ya masuala ya Taifa na chama Chao, kwa wiki au kwa mwezi watu wasikilize na waulize maswali na wapewe ufafanuzi
Wizara mbalimbali, ama ofisi za mikoa, bunge, ama mahakama pia jeshi la polisi, warushe vipindi Kama hivi kuelimisha watu juu ya masuala yote yanayoendelea katika idara zao, watu wasikilize na kuhoji pia
Nimeshangaa watu wanapiga simu kwa Humphrey Polepole wanahoji Mambo ambayo walipaswa kuulizwa watu wengine serikalini, Kama vile ishu za tozo, na chanjo
Cha kushangaza baadhi ya watu wanabeza juhuji hii ya Polepole, eti kwa Nini asifanye enzi za mwendazake.
Hivi mnasahau Mama Samia alinyamaza kimya enzi za jiwe na Sasa anachukuwa hatua kadhaa zilizo kinyume?
JPM pia alinyamaza kimya enzi za JK na akachukuwa hatua alipopata urais?
Ukimfuatia JK, Mkapa, pia Mwinyi utagundua yapo Mambo walikaa kimya, na waliyachukulia hatua walipopata urais
Tatizo la chama changu CCM, wanajua kuunga juhudi kwa anachofanya mwenyekiti tu. Haya ya Polepole yangekuwa ni ubunifu wa Raisi ungeona mapambio, na hekaheka za kila mteule wa Raisi kuunga juhudi!
Jamani, Polepole anaupiga mwingi, Tumuunge mkono!
Kama hujagundua.Unamuongelea yule jamaa anayeongea kwenye CHUO CHA UONGO?!
.Waungwana Asalam aleykum!
Nimemfuatilia ndugu yangu Humphrey Polepole kwenye darasa lake la uongozi kwenye utube, nami nimebaini yakuwa anafanya Jambo jema Sana kwa Taifa.
Naamini mutakubaliana na Mimi kuwa elimu ni Jambo la msingi Kati ya Mambo muhimu tunayohitaji Kama Taifa.
Ndugu Humphrey Polepole anatoa mada mzuri za elimu na anapata uungwaji mkono na watu wengi
Inachofurahisha ni kwamba mada zake hazitetei chama chochote, dini yoyote Wala kabila lolote, kitu ambacho ni Nadra kukiona, kwa watoa mada wengi, wengi wao huegemea kutetea maslahi yao, chama Chao au hata dini yao
Kwakweli Taifa litafakari hili na liunge mkono
Kila chama kitengeneze kipindi Cha kuelimisha watu juu ya masuala ya Taifa na chama Chao, kwa wiki au kwa mwezi watu wasikilize na waulize maswali na wapewe ufafanuzi
Wizara mbalimbali, ama ofisi za mikoa, bunge, ama mahakama pia jeshi la polisi, warushe vipindi Kama hivi kuelimisha watu juu ya masuala yote yanayoendelea katika idara zao, watu wasikilize na kuhoji pia
Nimeshangaa watu wanapiga simu kwa Humphrey Polepole wanahoji Mambo ambayo walipaswa kuulizwa watu wengine serikalini, Kama vile ishu za tozo, na chanjo
Cha kushangaza baadhi ya watu wanabeza juhuji hii ya Polepole, eti kwa Nini asifanye enzi za mwendazake.
Hivi mnasahau Mama Samia alinyamaza kimya enzi za jiwe na Sasa anachukuwa hatua kadhaa zilizo kinyume?
JPM pia alinyamaza kimya enzi za JK na akachukuwa hatua alipopata urais?
Ukimfuatia JK, Mkapa, pia Mwinyi utagundua yapo Mambo walikaa kimya, na waliyachukulia hatua walipopata urais
Tatizo la chama changu CCM, wanajua kuunga juhudi kwa anachofanya mwenyekiti tu. Haya ya Polepole yangekuwa ni ubunifu wa Raisi ungeona mapambio, na hekaheka za kila mteule wa Raisi kuunga juhudi!
Jamani, Polepole anaupiga mwingi, Tumuunge mkono!
Huyu mtu ana stress hivi sasa. Ana akili nzuri lakini ni wa hovyo. Watu kama Polepole ni hatari Sana. Hawana chochote zaidi ya unafiki.
ANAUNGWA MKONO NA WENGI. HAIPUNGUZI KITU USIPOMUUNGA MKONO.Angefanya hiv kipindi cha mwendazake ningemuunga mkono....