Tumuangushe Godbless Lema 2015

Tumuangushe Godbless Lema 2015

Status
Not open for further replies.
Lema kasababisha uchumi wa Arusha umeshuka sana, Watalii hawaendi tena Arusha kwa sababu ya vurugu za Lema na genge lake la wahuni
 
Lema kasababisha uchumi wa Arusha umeshuka sana, Watalii hawaendi tena Arusha kwa sababu ya vurugu za Lema na genge lake la wahuni
Uchimi wa Tanzania umepaa?

Mweyekiti analia kazi ya urais imemshinda anatamani akalee wajukuu na kuchunga ngombe.

Lumumba someni alama za nyakati
 
Your wish is next to impossible mission to accomplish!

Kumbuka pia ule msemo unaosema dua la kuku halimpati mwewe.

Inajulikana wazi kuwa miongoni mwa wabunge wa CDM ambao magamba wasingependa kabisa warejee kwenye uchaguzi wa mwaka 2015, basi Godbless Lema anaweza kuwa top of the list.

Lakini magamba wanapaswa kuzingatia kwa makini ule msemo unaosema Mungu si Athumani!
 
Your wish is next to impossible mission to accomplish!

Kumbuka pia ule msemo unaosema dua la kuku halimpati mwewe.

Inajulikana wazi kuwa miongoni mwa wabunge wa CDM ambao magamba wasingependa kabisa warejee kwenye uchaguzi wa mwaka 2015, basi Godbless Lema anaweza kuwa top of the list.

Lakini pia kuna msemo unaosema Mungu si Athumani!

huyu jamaa hawezi rudi amedeliver poorly-%
 
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta

Ha ha ha haaa !!!! magamba mnahangaika kweli ,Arusha tulishaidelete CCM siku mingi.
 
Unapoteza muda bure,

Muulize mwenyekiti wenu anaujua mziki wa Godbless Lema.

Kisha wahi kwa kinana katibu mkuu wa maccm.

Kabla hujamuuliza Mwiguli kwa nini alikimbia.

Kila jambo lenye kuhitaji hekima kwenu nyinyi ni kuweka "mziki" tu! maendeleo hayaji kwa mziki.
 
huyu jamaa hawezi rudi amedeliver poorly-%


Haya ni mawazo ya mtu mwovu huwaza kutenda uovu muda mwingi ,hivi umeshindwa kwenda kutoa taarifa kituo cha police au unataka tu kupotosha .
 
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta

Mapato ya jiji la Arusha yameongezeka maradufu katika kipindi cha ubunge wa Lema.barabara za Lami zimeongezeka n.k n.k
 
Ciril

Unadhani sijui, mziki kwenu ni maandamano na kupambana na polisi sasa hapo unadhani kuna maendeleo
 
Last edited by a moderator:
Haya ni mawazo ya mtu mwovu huwaza kutenda uovu muda mwingi ,hivi umeshindwa kwenda kutoa taarifa kituo cha police au unataka tu kupotosha .

mkuu vp ripoti ya mabomu arusha mbowe keshaipeleka au anataka watu waendelee kuuwawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom