Tumtumie mama Janeth Magufuli

Tumtumie mama Janeth Magufuli

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,559
Reaction score
57,863
Wakuu nilikuwa nawaza tu wale ndugu zetu wanaopita humu walioko karibu na mama yetu.

Mpendwa ,mtulivu ,asiyependa kuonekana mbele ya kamera labda anaweza tusaidi kufikisha kiliochangu!!

Amwambie mkuu yafuatayo aisee.

1: Mtaani hakukaliki ni taharuki mifuko imechomwa na jua.

2: Kauli za mkuu zinaongeza taharuki zaidi anapoongea .

3: Watu wameogopa tayari kujadili kauli zake maana wakikutwa wanaongea na police wanaogopa kuwekwa pingu!!

4: Apunguze hasira huu mchezo hauitaji hasira anaongoza watu zaidi ya milioni 50 na waliomchagua ni milion 8

5: Tunataka mrejesho wa Salary Slip yake na kodi anayolipa kwa sasa ni kiasi gani.

6: Vijana wanasubiri viwanda

7: Vijana wanasubiri ajira mpya mpaka sasa kimya.

Amwambie wazee wako njaa aisee mambo ni magumu mtaani aje na majibu sio vitisho.

'' Niko njaa hata siwezi karanga( Nyama)
Hoe hae shagarabagara ,
Niko tayari kulipa garama Sitosimama maovu yakitawala"

Mwambie asikilize hako ka wimbo kama anaweza kapata katamsaidia kuelewa nini namaanisha!!

Asante najua ujumbe huu utawafikia wote!!
 
Technically ndugu yajue kwanza maana ya neno MADARAKA
1. matamu
2. Yanalevya
3. Huyo mama mtamsumbua kama ma Sheikh, Askofu, Wachungaji etc wameshindwa
 
Kwahio vimemo mmeona mvipitishe kwa Mama Janet baada ya kukosa upenyooo
 
Wakuu nilikuwa nawaza tu wale ndugu zetu wanaopita humu walioko karibu na mama yetu.

Mpendwa ,mtulivu ,asiyependa kuonekana mbele ya kamera labda anaweza tusaidi kufikisha kiliochangu!!

Amwambie mkuu yafuatayo aisee.

1: Mtaani hakukaliki ni taharuki mifuko imechomwa na jua.

2: Kauli za mkuu zinaongeza taharuki zaidi anapoongea .

3: Watu wameogopa tayari kujadili kauli zake maana wakikutwa wanaongea na police wanaogopa kuwekwa pingu!!

4: Apunguze hasira huu mchezo hauitaji hasira anaongoza watu zaidi ya milioni 50 na waliomchagua ni milion 8

5: Tunataka mrejesho wa Salary Slip yake na kodi anayolipa kwa sasa ni kiasi gani.

6: Vijana wanasubiri viwanda

7: Vijana wanasubiri ajira mpya mpaka sasa kimya.

Amwambie wazee wako njaa aisee mambo ni magumu mtaani aje na majibu sio vitisho.

'' Niko njaa hata siwezi karanga( Nyama)
Hoe hae shagarabagara ,
Niko tayari kulipa garama Sitosimama maovu yakitawala"

Mwambie asikilize hako ka wimbo kama anaweza kapata katamsaidia kuelewa nini namaanisha!!

Asante najua ujumbe huu utawafikia wote!!
Tunawaza kuajiliwa sana kuliko kujiajil hapo ndo mzizi wa tatizo
Tunasoma ilo tuwe watumwa kwa walionanacho

Mawazo na akil zetu tupo radhi tutimie kwa manufaa ya watu wengine na sio sisi
Endelen kusoma umizen kichwa sana mawazo yenu elimu yenu itupe utajir sisi nyie tutawapa sehem ndogo ya faida
 
Back
Top Bottom