Tumshauri Dr. Joyce Ndalichako


Mkuu usituchukulie serious, we sometimes crack some jokes!
 
Afute pia GPA kwa sekondari na arudishe Division kwani GPA hazina mashiko
 

Wale wanaofanya mzaha na thrd hii waendelee tu! Naongeza haya:
1. Sera mpya ya elimu haifai. Ipitiwe upya na muhimu ni kuachana na kiswahili ngazi za juu. Rudisha mpangilio wa zamani. yaani Kiswahili hadi darasa la nne. Darasa la tano kuendelea tutumie kiingereza. Kila mtu na hata wanasiasa watoto wao wanasoma kwa kiingereza.

2. Mkatae Katibu mkuu wako. Hafai na hana mwelekeo wowote wa kuboresha elimu. Hajwahi kusikia ugumu wa elimu kutokana na masomo aliyosoma. Ndiyo maana anatuletea mambo ya merits. Usanii tu!

3. Mkurugenzi wa NECTA hafai kabisa! Ondoa kiumbe huyo. Hata ktk masomo yake alikuwa ni mtu wa kuigiza tu na hakuna alipofanya la maana.

4. Ingilia kati watu wa VETA. Hawataki kujitanua badala yake wao ni kupiga dili tu na wizi mkubwa ktk vyuo vyao.

5. Kamisheni ya sayansi, COSTECH ipatiwe uongozi mpya. Hao waliopo ni tatizo la miaka yote hawana la kufanya zaidi ya safari. Futa bodi yao ambayo imekuwa ni ya wanasiasa badala ya watafiti wenye uwezo.

6. Rekebisha mitaala na hasa ya sayansi ambayo ilichezewa ili ufaulu uongezeke badala ya ufahamu.

7. Hao watu wa sayansi an technolojia, waangalie sana maana kumbe wapo kwa ajili ya kujifunza badala ya kuonyesha ufahamu wao. Kila wakati wao ni ziara za mafunzo! Hata wakurugenzi!
 
Una akili duni kama ya nguruwe! umejaa chuki, ujinga na upumbavu kiasi cha kutojua unaandia kitu gani! ni lini na wapi aliwaomba radhi watu wa hovyo kama wewe na kwa kosa lipi alilolifanya?
 
Ipite Comprehensive research itakayotueleza kwanini Kidato cha 5&6 ni kupoteza muda kwanini Sekondari isiwe miaka 5 then unakwenda polytechnic au university mojakwamoja.

Una akili
Kwa kuanza anza na proposal yako au project utupe hint s adhawishike
 
Toeni hoja ni kwa namna gani elimu iboreshwe,tupate elimu bora.
 
Aongezee maafisa elimu na ukaguzi wa shule ufanyike kila wakati.walimu ambao wanafundisha vijijini wapewe motisha.
 

Wewe ni popoma, shukuru kawambwa si kila siku mlikuwa mnamlalamikia kuwa ni waziri mzigo? Imekuwaje leo unatuletea libarua lake? Au ndio baniani mbaya kiatu chake dawa? Hivi bila waislam kupiga kelele hiyo barua ingeandikwa?
 
Awaboreshe maslahi ya walimu. Pia awafute kazi walimu wanaotumia vyeti vya watu wengine.
 
Ndugu Ndalichako.

Boresha sana ELIMU YA AWALI...Tafiti nyingi zimeonesha faida lukuki za Elimu ya awali kwa mustakabali wa maisha ya mtoto kielimu, kijamii Na kiuchumi.
Anzia hapa...kwenye vyuo vya diploma ya ualimu wa msingi kuna department ya kuandaa waalimu wa shule za awali. TATIZO wakufunzi wanaowandaa hao walimu hawajui A wala B ya mtoto kwa undani maana hawakusoma EARLY CHILDHOOD EDUCATION.
tafadhali waziri, ajiri vijana wahitimu wa ECE kutoka UDSM/UDOM wafanye hiyo kazi badala ya kuwaacha jobless au kuwapeleka sekondari kufundisha masomo ambayo hawajayasomea chuo.
 
Hakika tulioomba Huyu mama kuteuliwa tunamshukuru Rais kwa kusikiliza kilio chetu.Ombi langu kwa waziri ni kuwa walimu wanadhalilika kwenye nyumba za upangaji pamoja na mgawanyiko kati ya walimu wanaoishi nyumba za selikari na wale waliopanga.Tunaomba bajeti ijayo walimu wasioishi nyumba za selikari wapewe house allowance japo kidogo kwa ajili ya kodi ya nyumba.
 
Naomba Mungu awasamehe tu akina Mungai, Mwantumu, Kawambwa, Mulugo ... Waliharibu sana!
 

We unamjua vizuri huyo kiongozi wa necta wa sasa au ndo basi kuponda kila kitu ndo kawaida yenu. Tatzo mna mapungufu ya akili kila mtu mkubwa mnamchukia nchi hii. Muulize naibu waziri wa zamani wa tamisemi elimu atakuambia shughuli ya huyo dr msonde.na unajua sababu za ndalichako kuondoka necta
 
Una akili duni kama ya nguruwe! umejaa chuki, ujinga na upumbavu kiasi cha kutojua unaandia kitu gani! ni lini na wapi aliwaomba radhi watu wa hovyo kama wewe na kwa kosa lipi alilolifanya?
Ewe mgalatia usiokuwa na akili ni nani aliyekuroga?
 
pandisha madaraja walimu walioenda kujiendeleza kisomo sio kuwarudisha palepale
 
kwa mfano kuna mwalimu kakaa muda mrefu kazini alikua na grade A akafikia mshahara mkubwa tuuu almost zaidi ya mshahara wa kima cha chini cha mwalimu mwenye degree baadae akaenda kujiendeleza na akapata degree ya elimu lakini aliporudi kazini wanamwambia achague aendelee na mshahara wake wa grade A au aanze upya na mshahara wa degree kima cha chini ambao kimsingi ni kidogo kulinganisha na mshahara aliofikia wa grade A sasa kwann mtu akijiendeleza asije kulipwa mshahara kutoka na muda wake kazini na pia elimu yake aliojiendeleza

mwenye msaada wowote juu ya hili naomba amsaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…