farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 701
Jamaa jembe sansana natamani apite bila kupingwa
"Akili ndogo hazitawali kubwa"
"A problem caused by same mind can not be solved the same level of mind wchich craeted it"
Hata jk hajaweza kutoa sentens kubwa kama hii. Big up jembe la Iringa.
ambaye haruhusu kabisa akili ndogo itawale akili kubwa!!
Uchungaji ameukacha?
sindano ya nyuki;
Acha hizo porojo za kipuuzi. Hoja yako haina mashiko hata chembe. Sote tunaijua dini bwana. Hivi unafikiri Wachungaji, Maaskofu na Mapadre hawana sehemu au mchango wao katika siasa? Kwenye Biblia Takatifu tunasoma habari za Wafalme kina Daudi, kina Sulemani na wengine, hawa walikuwa ni watawala walikaa kwenye Ikulu na kuongoza watu wao.
Mbona hawahawa wana siasa wanapotaka kupata kura wanaenda kwenye nyumba hizo za ibada kuwaomba hawahawa Wachungaji na Maaskofu kushawishi watu wao wawape kura?
Msigwa anastahili kurudi Bungeni kwani ametoa mchango mkubwa sana kwenye hili Bunge lililopita. Msigwa anaweza kuwa sawa na Wabunge 50 wa CCM.
Acha upumbavu kwani mfalme Sauli, Daudi, Suleiman na wafalme wengi wacha MUNGU walikuwa wanawaongoza nyani kuna tofauti gani kati ya hao wafalme na kazi msigwa anayofanya Bible yenyewe hata hauijui unaongea pumba tu.
Mwenye nyumba anakuja mwakalibela akae chonjo huyu alipata kwa huruma ya wana iringa baada ya kukatwa mwakalibela
Msigwa juzi tu amepata ubunge amefungua Yard Ya Kuuza Magari Iringa.. Pesa kapata wapi,,ni fisadi sana
anadhalilisha taaluma ya uchungaji.. ni bora ieleweke kuwa ameacha uchungaj ni mwanasiasa kama dr slaa..! VITA VYAKE HAVIPASWI KUWA VYA ULIMWENGU HUU BALI VYAPASWA KUWA VYA KIROHO.. MATHAYO 7;21
Kwani iringa mjini kuna uchaguzi?Ninavyofaham mimi ni kwamba iringa mjini kuna utaratibu wa kumuongezea msigwa muda wa kuendelea kuwawakilisha wana iringa mjini bhaaaaasi