Tumrudishe Msigwa tena bungeni

Tumrudishe Msigwa tena bungeni

1437307035250.jpg 1437307109884.jpg 1437307149339.jpg
 
"Akili ndogo hazitawali kubwa"
"A problem caused by same mind can not be solved the same level of mind wchich craeted it"
Hata jk hajaweza kutoa sentens kubwa kama hii. Big up jembe la Iringa.

hv JK ameshawah kutoa quote ya maana...em nisaidie ata moja
achana na zile...ukitaka kula nawe ukubal kuliwa
 
Msigwa hakika ni jembe, ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja na kupambanua mambo, nitasikitika sana ikiwa wana Iringa hawatamrudishwa bungeni
 
sindano ya nyuki;

Acha hizo porojo za kipuuzi. Hoja yako haina mashiko hata chembe. Sote tunaijua dini bwana. Hivi unafikiri Wachungaji, Maaskofu na Mapadre hawana sehemu au mchango wao katika siasa? Kwenye Biblia Takatifu tunasoma habari za Wafalme kina Daudi, kina Sulemani na wengine, hawa walikuwa ni watawala walikaa kwenye Ikulu na kuongoza watu wao.

Mbona hawahawa wana siasa wanapotaka kupata kura wanaenda kwenye nyumba hizo za ibada kuwaomba hawahawa Wachungaji na Maaskofu kushawishi watu wao wawape kura?

Msigwa anastahili kurudi Bungeni kwani ametoa mchango mkubwa sana kwenye hili Bunge lililopita. Msigwa anaweza kuwa sawa na Wabunge 50 wa CCM.

Kweli ila LISSU ni sawa na wabunge wote wa ccm including mawaziri
 
Acha upumbavu kwani mfalme Sauli, Daudi, Suleiman na wafalme wengi wacha MUNGU walikuwa wanawaongoza nyani kuna tofauti gani kati ya hao wafalme na kazi msigwa anayofanya Bible yenyewe hata hauijui unaongea pumba tu.

Achana nae huyo
Hawa ndio wanaopotosha maandiko!!!
Hajui biblia huyu
 
Kwani iringa mjini kuna uchaguzi?Ninavyofaham mimi ni kwamba iringa mjini kuna utaratibu wa kumuongezea msigwa muda wa kuendelea kuwawakilisha wana iringa mjini bhaaaaasi
 
anadhalilisha taaluma ya uchungaji.. ni bora ieleweke kuwa ameacha uchungaj ni mwanasiasa kama dr slaa..! VITA VYAKE HAVIPASWI KUWA VYA ULIMWENGU HUU BALI VYAPASWA KUWA VYA KIROHO.. MATHAYO 7;21

Kasome tena biblia,naona huelewi kabisa!
In short hatuwezi kuacha Giza litawale huko!!
 
Kwani iringa mjini kuna uchaguzi?Ninavyofaham mimi ni kwamba iringa mjini kuna utaratibu wa kumuongezea msigwa muda wa kuendelea kuwawakilisha wana iringa mjini bhaaaaasi

Upo
Tena ndani ya cdm kuna ambae amechukua form ya kuomba ridhaa hiyo,so hatakua peke yake!
 
Back
Top Bottom