Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

Status
Not open for further replies.
Nipo hivi

Mtanzania yeyote akienda kushindana nje nitampigia kura iwe isiwe.

Na kwakua Magufuli ambaye ni mtanzania, naye kaenda kushindana nje hivyo sina budi kumpigia kura.

Amepata kura yangu.
 
mxiiiiuuuwww yaani hii ndio taarifa muhimu ..
mimi nilidhani serikali imetangaza ajira mpya kwa vijana khaaa
 
Bora hata Uhuru Kenyatta. Alionesha busara mahakama ilipobatilisha matokeo ya Augost 2017.
 
Kupiga Kura ni ujinga, Tunataka kujipa uhalisia ambao haupo!! Kama hayuko hivyo Hakuna haja ya kulazimisha watu. Kama anastahili ataipata tu Kama hastahili tusilazimishe mambo
 
Wew kibaraka wa ccm mim sina mdaa mchafuu huo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…