Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?

Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?

Tubadili katiba tu tufanye uongizi usio na kikomo kama chadema- ukiisha muda agombee wakimpenda miaka mingine wampe
Akifeli wamtoe itakua kipimo kizuri
 
Mimi napendekeza tubadili katiba aongoze miaka 20 ijayo .Tutafikia uchumi wa kati.
 
Ulikuwa na hoja nzuri kama ungeongelea tu mkopo na ulivyoathirika na umakini wa serikali ktk kubana matumizi. Hizo zingine umeandika kishabiki kiasi kwamba unaonekana wewe ni muongo, mnafiki...
Hali ngumu hii wewe kwako poa sana?
 
Natafakari jinsi ambavyo Rais anaendesha nchi kwa matamko na mihemko mingi. Mfano ukanijia akilini. Nimekopa hela benki kwa ajili ya biashara. Hela nfefu tu. Mkopo natakiwa kuulipa ndani ya miaka miwili.

Sina chanzo kingine cha kipato hivyo nategemea mahitaji yangu yatoke kwenye biashara. Hivyo nategemewa kulipa mkopo, riba, pango n.k. Nikiitazama biashara nsona kipindi hiki cha mwendokasi mambo ni kama yametuwama.

Mkopo utalipika? Ni lini naweza kusema nitafikia break even ili nianze muona matunda ya uwekezaji wangu? Nitakaposhindwa kulipa ndani ya muda husika ni wazi nitafilisiwa na walionikopesha.

Hatma ya mfano huu ni tofauti na uongozi tulio nao sasa japo mifano tangu mwanzo inafanana. Rais ukimsikiliza anachoongea kila leo kwa wananchi ni kama vile ataongiza hii nchi kwa miaka 30. Kwa nini. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na dira ya taifa ambapo pake wakuu wa nchi wanapopokezana uongozi, basi yule mpya huendeleza yaliyoachwa na mtangulizi wake.

Mfano mzuri ni hivi karibuni ambapo baada ya jpm kuchukua madaraka amekuwa akiilaumu serikali iliyopita kwa kutokuwa makini kusimamia nchi. Sasa yeye kaja na kuanza kufumua mifumo kama vile hatukuwahi kuwa na Rais nchi hii. Kinachoinekana ni kama jk hakufanya kitu ndani ya miaka 10.

Kauli kama watu wafyatue (sio wazae) watoto anajua ina athari gani baada ya miaka 10? Baada ya miaka 10 Rais ajaye atakuwa tayari kubeba mzigo ulioachwa na mtanguluzi wake? Au ndio yake yale ya kumlaumu mtangulizi kwa maamuzi aliyofanya ya kuruhusu ufyatuaji.

Kama rais ana mpango wa kutaka kuongoza nchi hii kwa miaka 30 pengine atabeba msalaba wake hadi mwisho. Lakini kama Rais atapisha baada ya miaka 10 ni wazi tunahitaji muongozo wa kitaifa ili mrithi wake nae asije kuanza kupangua yaliyopangwa. Hapa ndipo katiba pendekezwa ya mzee Warioba inapohitajika. Magufuli ataitendea haki?

Miaka kumi ikitimia na mipango ikiwa bado haijatumia nu ngumu sana kwa mchoro wa sasa wa kiuongozi kwa kiongozi ajaye kufanya aliyoacha mtangulizi, mfano kulea watoto waliofyatuliwa miaka 10 iliyopita. Pengine sera zake ni uzazi wa mpango na ana mambo ya msingi ya kusimamia na si kuanza kulea.

Sasa kama mkuu hawezi kufanya kazi zake pakiwa na kelele nyingi hadi kutaka kuzizima kwanza ndipo afanye kazi, itakuwaje atakaposhindwa kutimiza ahadi zake na kuja kutoa kusingizio kuwa ni kelele nyingi zilinifanya nishindwe kuwa makini hivyo kushindwa kutimiza?

Rais kaahidi mambo mengi sana ambayo ni ngumu kutekelezeka kwa miaka 10. Atalazimisha kuendelea kuongoza ili tu akamilishe? Ataweka dira itakayofuatwa na atakayenfuatia? Kama nilivyosema awali, nitafilisiwa nikishindwa kutimiza ndani ya miaka miwili. Nani atamwajibisha Rais pale mambo yatakapokwama?
Mkuu jiangalie usije jikuta unazingirwa
 
Natafakari jinsi ambavyo Rais anaendesha nchi kwa matamko na mihemko mingi. Mfano ukanijia akilini. Nimekopa hela benki kwa ajili ya biashara. Hela nfefu tu. Mkopo natakiwa kuulipa ndani ya miaka miwili.

Sina chanzo kingine cha kipato hivyo nategemea mahitaji yangu yatoke kwenye biashara. Hivyo nategemewa kulipa mkopo, riba, pango n.k. Nikiitazama biashara nsona kipindi hiki cha mwendokasi mambo ni kama yametuwama.

Mkopo utalipika? Ni lini naweza kusema nitafikia break even ili nianze muona matunda ya uwekezaji wangu? Nitakaposhindwa kulipa ndani ya muda husika ni wazi nitafilisiwa na walionikopesha.

Hatma ya mfano huu ni tofauti na uongozi tulio nao sasa japo mifano tangu mwanzo inafanana. Rais ukimsikiliza anachoongea kila leo kwa wananchi ni kama vile ataongiza hii nchi kwa miaka 30. Kwa nini. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na dira ya taifa ambapo pake wakuu wa nchi wanapopokezana uongozi, basi yule mpya huendeleza yaliyoachwa na mtangulizi wake.

Mfano mzuri ni hivi karibuni ambapo baada ya jpm kuchukua madaraka amekuwa akiilaumu serikali iliyopita kwa kutokuwa makini kusimamia nchi. Sasa yeye kaja na kuanza kufumua mifumo kama vile hatukuwahi kuwa na Rais nchi hii. Kinachoinekana ni kama jk hakufanya kitu ndani ya miaka 10.

Kauli kama watu wafyatue (sio wazae) watoto anajua ina athari gani baada ya miaka 10? Baada ya miaka 10 Rais ajaye atakuwa tayari kubeba mzigo ulioachwa na mtanguluzi wake? Au ndio yake yale ya kumlaumu mtangulizi kwa maamuzi aliyofanya ya kuruhusu ufyatuaji.

Kama rais ana mpango wa kutaka kuongoza nchi hii kwa miaka 30 pengine atabeba msalaba wake hadi mwisho. Lakini kama Rais atapisha baada ya miaka 10 ni wazi tunahitaji muongozo wa kitaifa ili mrithi wake nae asije kuanza kupangua yaliyopangwa. Hapa ndipo katiba pendekezwa ya mzee Warioba inapohitajika. Magufuli ataitendea haki?

Miaka kumi ikitimia na mipango ikiwa bado haijatumia nu ngumu sana kwa mchoro wa sasa wa kiuongozi kwa kiongozi ajaye kufanya aliyoacha mtangulizi, mfano kulea watoto waliofyatuliwa miaka 10 iliyopita. Pengine sera zake ni uzazi wa mpango na ana mambo ya msingi ya kusimamia na si kuanza kulea.

Sasa kama mkuu hawezi kufanya kazi zake pakiwa na kelele nyingi hadi kutaka kuzizima kwanza ndipo afanye kazi, itakuwaje atakaposhindwa kutimiza ahadi zake na kuja kutoa kusingizio kuwa ni kelele nyingi zilinifanya nishindwe kuwa makini hivyo kushindwa kutimiza?

Rais kaahidi mambo mengi sana ambayo ni ngumu kutekelezeka kwa miaka 10. Atalazimisha kuendelea kuongoza ili tu akamilishe? Ataweka dira itakayofuatwa na atakayenfuatia? Kama nilivyosema awali, nitafilisiwa nikishindwa kutimiza ndani ya miaka miwili. Nani atamwajibisha Rais pale mambo yatakapokwama?
Mimi nasema tumpe miaka hata fifty,50.mpaka awe mzee kama Mgabe.kweli kabisa.
 
Natafakari jinsi ambavyo Rais anaendesha nchi kwa matamko na mihemko mingi. Mfano ukanijia akilini. Nimekopa hela benki kwa ajili ya biashara. Hela nfefu tu. Mkopo natakiwa kuulipa ndani ya miaka miwili.

Sina chanzo kingine cha kipato hivyo nategemea mahitaji yangu yatoke kwenye biashara. Hivyo nategemewa kulipa mkopo, riba, pango n.k. Nikiitazama biashara nsona kipindi hiki cha mwendokasi mambo ni kama yametuwama.

Mkopo utalipika? Ni lini naweza kusema nitafikia break even ili nianze muona matunda ya uwekezaji wangu? Nitakaposhindwa kulipa ndani ya muda husika ni wazi nitafilisiwa na walionikopesha.

Hatma ya mfano huu ni tofauti na uongozi tulio nao sasa japo mifano tangu mwanzo inafanana. Rais ukimsikiliza anachoongea kila leo kwa wananchi ni kama vile ataongiza hii nchi kwa miaka 30. Kwa nini. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na dira ya taifa ambapo pake wakuu wa nchi wanapopokezana uongozi, basi yule mpya huendeleza yaliyoachwa na mtangulizi wake.

Mfano mzuri ni hivi karibuni ambapo baada ya jpm kuchukua madaraka amekuwa akiilaumu serikali iliyopita kwa kutokuwa makini kusimamia nchi. Sasa yeye kaja na kuanza kufumua mifumo kama vile hatukuwahi kuwa na Rais nchi hii. Kinachoinekana ni kama jk hakufanya kitu ndani ya miaka 10.

Kauli kama watu wafyatue (sio wazae) watoto anajua ina athari gani baada ya miaka 10? Baada ya miaka 10 Rais ajaye atakuwa tayari kubeba mzigo ulioachwa na mtanguluzi wake? Au ndio yake yale ya kumlaumu mtangulizi kwa maamuzi aliyofanya ya kuruhusu ufyatuaji.

Kama rais ana mpango wa kutaka kuongoza nchi hii kwa miaka 30 pengine atabeba msalaba wake hadi mwisho. Lakini kama Rais atapisha baada ya miaka 10 ni wazi tunahitaji muongozo wa kitaifa ili mrithi wake nae asije kuanza kupangua yaliyopangwa. Hapa ndipo katiba pendekezwa ya mzee Warioba inapohitajika. Magufuli ataitendea haki?

Miaka kumi ikitimia na mipango ikiwa bado haijatumia nu ngumu sana kwa mchoro wa sasa wa kiuongozi kwa kiongozi ajaye kufanya aliyoacha mtangulizi, mfano kulea watoto waliofyatuliwa miaka 10 iliyopita. Pengine sera zake ni uzazi wa mpango na ana mambo ya msingi ya kusimamia na si kuanza kulea.

Sasa kama mkuu hawezi kufanya kazi zake pakiwa na kelele nyingi hadi kutaka kuzizima kwanza ndipo afanye kazi, itakuwaje atakaposhindwa kutimiza ahadi zake na kuja kutoa kusingizio kuwa ni kelele nyingi zilinifanya nishindwe kuwa makini hivyo kushindwa kutimiza?

Rais kaahidi mambo mengi sana ambayo ni ngumu kutekelezeka kwa miaka 10. Atalazimisha kuendelea kuongoza ili tu akamilishe? Ataweka dira itakayofuatwa na atakayenfuatia? Kama nilivyosema awali, nitafilisiwa nikishindwa kutimiza ndani ya miaka miwili. Nani atamwajibisha Rais pale mambo yatakapokwama?
10 inatosha kuturudisha nyuma
 
Natafakari jinsi ambavyo Rais anaendesha nchi kwa matamko na mihemko mingi. Mfano ukanijia akilini. Nimekopa hela benki kwa ajili ya biashara. Hela nfefu tu. Mkopo natakiwa kuulipa ndani ya miaka miwili.

Sina chanzo kingine cha kipato hivyo nategemea mahitaji yangu yatoke kwenye biashara. Hivyo nategemewa kulipa mkopo, riba, pango n.k. Nikiitazama biashara nsona kipindi hiki cha mwendokasi mambo ni kama yametuwama.

Mkopo utalipika? Ni lini naweza kusema nitafikia break even ili nianze muona matunda ya uwekezaji wangu? Nitakaposhindwa kulipa ndani ya muda husika ni wazi nitafilisiwa na walionikopesha.

Hatma ya mfano huu ni tofauti na uongozi tulio nao sasa japo mifano tangu mwanzo inafanana. Rais ukimsikiliza anachoongea kila leo kwa wananchi ni kama vile ataongiza hii nchi kwa miaka 30. Kwa nini. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na dira ya taifa ambapo pake wakuu wa nchi wanapopokezana uongozi, basi yule mpya huendeleza yaliyoachwa na mtangulizi wake.

Mfano mzuri ni hivi karibuni ambapo baada ya jpm kuchukua madaraka amekuwa akiilaumu serikali iliyopita kwa kutokuwa makini kusimamia nchi. Sasa yeye kaja na kuanza kufumua mifumo kama vile hatukuwahi kuwa na Rais nchi hii. Kinachoinekana ni kama jk hakufanya kitu ndani ya miaka 10.

Kauli kama watu wafyatue (sio wazae) watoto anajua ina athari gani baada ya miaka 10? Baada ya miaka 10 Rais ajaye atakuwa tayari kubeba mzigo ulioachwa na mtanguluzi wake? Au ndio yake yale ya kumlaumu mtangulizi kwa maamuzi aliyofanya ya kuruhusu ufyatuaji.

Kama rais ana mpango wa kutaka kuongoza nchi hii kwa miaka 30 pengine atabeba msalaba wake hadi mwisho. Lakini kama Rais atapisha baada ya miaka 10 ni wazi tunahitaji muongozo wa kitaifa ili mrithi wake nae asije kuanza kupangua yaliyopangwa. Hapa ndipo katiba pendekezwa ya mzee Warioba inapohitajika. Magufuli ataitendea haki?

Miaka kumi ikitimia na mipango ikiwa bado haijatumia nu ngumu sana kwa mchoro wa sasa wa kiuongozi kwa kiongozi ajaye kufanya aliyoacha mtangulizi, mfano kulea watoto waliofyatuliwa miaka 10 iliyopita. Pengine sera zake ni uzazi wa mpango na ana mambo ya msingi ya kusimamia na si kuanza kulea.

Sasa kama mkuu hawezi kufanya kazi zake pakiwa na kelele nyingi hadi kutaka kuzizima kwanza ndipo afanye kazi, itakuwaje atakaposhindwa kutimiza ahadi zake na kuja kutoa kusingizio kuwa ni kelele nyingi zilinifanya nishindwe kuwa makini hivyo kushindwa kutimiza?

Rais kaahidi mambo mengi sana ambayo ni ngumu kutekelezeka kwa miaka 10. Atalazimisha kuendelea kuongoza ili tu akamilishe? Ataweka dira itakayofuatwa na atakayenfuatia? Kama nilivyosema awali, nitafilisiwa nikishindwa kutimiza ndani ya miaka miwili. Nani atamwajibisha Rais pale mambo yatakapokwama?
Huyu raisi ninacho ona mbele yangu ni Tumuombe Prophet TB Joshua
.amuite na amuombee pepo la mwisho aliobakiwa nalo la kiburi na uvunjaji Wa sheria na katiba litoke,nasema hivyo maana umri wangu na huru ni sawa,ila utawala wote toka nizaliwe
.ndio Mara ya kwanza naona tunae mkulu mtata anaye weza vunja katiba mchana kweupe na nchi ikalegea bila ataa kukoowa.ni aibu sana kama nch
 
MIMI NAONA AMALIZIE TU KIPINDI CHAKE MAANA ANANICHANGANYA SANA
Kuanzia sasa kitaeleweka .Mungu mkubwa
.embu fikiria huyu ni mteuliwa Wa chama kiliokuwapo anatenda kama vile ilikuwa hatuna serikali miaka kumi iliopita,embu fikiri je ingekuwa upinzani ndio wameingia alafu wawe na kisasi !!??
 
Back
Top Bottom