RamaQ
Senior Member
- Nov 10, 2015
- 136
- 115
Sio kwa sababu wewe ni kijana una nguvu na afya njema haina maana kwamba kifo hakipo kwa ajili yako kifo hakina kikwaza cha umri daima unapaswa kuwa tayari na kifo
Mwenyezi mungu (Allah ) anasema
Marejeo yenu ni kwa mwenyezi mungu tu naye ni muweza wa kila kitu(Quran 11:4) huu ni ukumbusho kwa wanaokumbushika haya ni mawaidha kwa wanakubali kuwaidhika )Ee mola wetu tupe katika dunia mema na katika akhera mema na tukinge adhabu ya moto ewe mola mwenye kupindua nyoyo thibitisha moyo wangu katika Dini yako eee Allah mwenye kugeuza nyoyo zetu katika utiifu wako eee Allah tujalie mwisho mwema
Amin Amin Ya Rabby
Mwenyezi mungu (Allah ) anasema
Marejeo yenu ni kwa mwenyezi mungu tu naye ni muweza wa kila kitu(Quran 11:4) huu ni ukumbusho kwa wanaokumbushika haya ni mawaidha kwa wanakubali kuwaidhika )Ee mola wetu tupe katika dunia mema na katika akhera mema na tukinge adhabu ya moto ewe mola mwenye kupindua nyoyo thibitisha moyo wangu katika Dini yako eee Allah mwenye kugeuza nyoyo zetu katika utiifu wako eee Allah tujalie mwisho mwema
Amin Amin Ya Rabby