Tumkodi Mkurugenzi TBL kuiendesha TANESCO

Tumkodi Mkurugenzi TBL kuiendesha TANESCO

KINO

Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
87
Reaction score
15
Mkurugenzi wa TBL angehamia Tanesco kusingekuwa na tatzo la mgao wa Umeme cz ni mtendaj mzuri bia hazijawahi kuisha kabisa wala hana vijisababu vya ajabu ajabu. Ni mawazo yangu tu ya kiweekend
😜😜😜😜😜
 
Labda tusaini petition ili Tanesco apewe Bakhresa. Kwa sasa kabakisha kufungua mashule na mavyuo vikuu. AUST (Azam University of Science and Technology)
 
Ukiangali kwa upeo mfupi myopic glance unaweza kusema tatizo la tanesco ni mkurugenzi lakini hapo unalinganisha usiku na mchana!. Tbl ina wenyewe ownership tanesco haina mwenyewe ni kimaanisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anakosa usingizi pale tanesco wapopata hasara lakini kwa tbl kesho yake mkurugenzi asingekuwa na kibarua . Matatizo ya tanesco ni ya kimfumo zaidi kuliko kiutawala.
 
Mkurugenzi wa TBL angehamia Tanesco kusingekuwa na tatzo la mgao wa Umeme cz ni mtendaj mzuri bia hazijawahi kuisha kabisa wala hana vijisababu vya ajabu ajabu. Ni mawazo yangu tu ya kiweekend
😜😜😜😜😜

Acha mbwembwe bia na umeme wapi na wapi.

Hili sio taifa la walevi
 
Mkurugenzi wa TBL angehamia Tanesco kusingekuwa na tatzo la mgao wa Umeme cz ni mtendaj mzuri bia hazijawahi kuisha kabisa wala hana vijisababu vya ajabu ajabu. Ni mawazo yangu tu ya kiweekend

Khaa!! Wazo zuri sana. Nenda ukazimue chief :glasses-nerdy:
 
Ukiangali kwa upeo mfupi myopic glance unaweza kusema tatizo la tanesco ni mkurugenzi lakini hapo unalinganisha usiku na mchana!. Tbl ina wenyewe ownership tanesco haina mwenyewe ni kimaanisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anakosa usingizi pale tanesco wapopata hasara lakini kwa tbl kesho yake mkurugenzi asingekuwa na kibarua . Matatizo ya tanesco ni ya kimfumo zaidi kuliko kiutawala.

Kwa maana iyo, tanesco inaweza kujiendesha hata bila ya mkurugenzi? Unazijua duties za mkurugenzi mkuu??

Kwa ushauri huu basi tunayo kila sababu ya kuuvunja mfumo!! October 25
 
Ukiangali kwa upeo mfupi myopic glance unaweza kusema tatizo la tanesco ni mkurugenzi lakini hapo unalinganisha usiku na mchana!. Tbl ina wenyewe ownership tanesco haina mwenyewe ni kimaanisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anakosa usingizi pale tanesco wapopata hasara lakini kwa tbl kesho yake mkurugenzi asingekuwa na kibarua . Matatizo ya tanesco ni ya kimfumo zaidi kuliko kiutawala.
Huo mfumo ndio tunakwenda kuushughulikia october 25.
 
Kwa maana iyo, tanesco inaweza kujiendesha hata bila ya mkurugenzi? Unazijua duties za mkurugenzi mkuu??

Kwa ushauri huu basi tunayo kila sababu ya kuuvunja mfumo!! October 25

True Babu Lai.
 
Duuuuuu sipati picha bokela akiwa pale. Angemtia jamba jamba jadi jk. Huyu bossi wa tbl ni shidaaaaaa. Hana masihara kazini
 
Labda tusaini petition ili Tanesco apewe Bakhresa. Kwa sasa kabakisha kufungua mashule na mavyuo vikuu. AUST (Azam University of Science and Technology)

Huyu jamaa anatakiwa atuwekee vindege vya being rahisi nchi nzima ya kuunga wilaya na mikoa. Azam airline.
 
Tanesco hawana tatizo lolote la kiutendaji sema wanaingiliwa na wqna siasa, muda mwingine shirika linafanya miradi ya kisiasa isiyo na tija wala faida kwa shirika ndio maana kila siku ni hasara.

Wa kulaumiwa ni ccm, cha ajabu shirikila likiharibu alietakiwa kuwqjibika ni waziri au katibu mkuu badala yake wanawawajibisha wakurugenzi ambao kimsingi hawahusiki.

Laumuni ccm sio shirika.
 
Acha mbwembwe bia na umeme wapi na wapi.

Hili sio taifa la walevi

mapato ya serikali yako yanategemea kodi kwenye BIA(POMBE), SODA, SIGARA.

hili ni taifa la walevi, watu wamelewa pombe(VIROBA) na madaraka.
 
Mkurugenzi wa TBL angehamia Tanesco kusingekuwa na tatzo la mgao wa Umeme cz ni mtendaj mzuri bia hazijawahi kuisha kabisa wala hana vijisababu vya ajabu ajabu. Ni mawazo yangu tu ya kiweekend
😜😜😜😜😜

Ataenda kukojoa kule bwawani ili maji yajae? Issue hapa kuna tatizo katikati ya TANESCO na SERIKALI kupitia WIZARA husika. Hii tanesco limekua kama shamba la bibi ndipo penye upigaji sana ndio maana meno ya tanesco yameoza kabisa kwa sababu yanatumika sana kumtafunia serikali ya watu fulani kwa maslahi yao kupitia wizara. Mkurugenzi hata ukimtoa mbinguni bila kuangalia upya link ya tanesco na serikali kupitia wizara yaani itakua kazi bureee kabisa
 
Ukiangali kwa upeo mfupi myopic glance unaweza kusema tatizo la tanesco ni mkurugenzi lakini hapo unalinganisha usiku na mchana!. Tbl ina wenyewe ownership tanesco haina mwenyewe ni kimaanisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anakosa usingizi pale tanesco wapopata hasara lakini kwa tbl kesho yake mkurugenzi asingekuwa na kibarua . Matatizo ya tanesco ni ya kimfumo zaidi kuliko kiutawala.
Kweli kinachotakiwa ni kulibinafsisha
 
Lowassa anasema mfumo wetu wa elimu ni dhaifu watu wanashindwa kumuelewa. Effect ya kuwa na mfumo dhaifu wa elimu ndio hii. Unakua wa watu ambao sio competent kwenye kazi
 
Madini, gesi na wanyama je?

Gesi si umesikia mashine siyo za serikwli..??!! Hujui madini mchango wake ni 3%...??!! wanyama wenyewe si ndo hao wanapanda ndege bureee..??!! kitu TBL na sigara... hatuwahi ishiwa mitaani wala kupata sigara ns bia za mgao
 
Tanesco hawana tatizo lolote la kiutendaji sema wanaingiliwa na wqna siasa, muda mwingine shirika linafanya miradi ya kisiasa isiyo na tija wala faida kwa shirika ndio maana kila siku ni hasara.

Wa kulaumiwa ni ccm, cha ajabu shirikila likiharibu alietakiwa kuwqjibika ni waziri au katibu mkuu badala yake wanawawajibisha wakurugenzi ambao kimsingi hawahusiki.

hii ndio ile dhana inayoitwa ''USIASISHAJI WA BIASHARA, NA UBIASHARAJI WA SIASA''

TUMEFIKISHWA HAPA NA CCM.

CCM NI GENGE LA WAHUNI,
CCM NI CHAKA LA MAFISADI,
CCM NI KIJIWE CHA WAUZA SEMBE,
CCM NI KITENGO CHA RUSHWA,
CCM NI KAMBI YA MAJAGILI,
CCM NI KITUO CHA UGAIDI.

CCM NI ILEILE , CCM HAITABADILIKA, CCM

CHAGUA UKAWA.
 
Back
Top Bottom