Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,556
Kuna siku trafiki alinisimamisha maeneo flani kosa nimevuka kabla taa haijaruhusu,mdada mmoja hivi mnene kiasi akaja,nkamwambia tumalizane basi akasema ye anamalizana na mume wake usiku,nkamwambia ngoja nkutoe ya maji basi akasema hana shida kwake anakamua juice kabisa dah yani aliniwekea ngumu kila kona mwishowe akaniandikia tu ikabidi niwe mpole[emoji17] [emoji17] [emoji17] hata moyo wa kumuomba namba nkawa sina