Tumieni Condom, msidanganyike

Nilipiga demu mwenye ngoma, ila nilitumia condom,nimepiga kama mwezi mmoja, nilikua naogopa kupima.Leo nimekunywa pombe ili nipate confidence,nikaenda kupima Niko fresh, kuna agenda za mtaani eti condom haizuii ngoma, puuza utanishukuru baadae,HV hapa nipo napiga moja baridi moja moto,nikiwa na furaha kinomaaa,huku nikiangalia mechi ya yanga,naombea yanga ifungwe ili furaha yangu iongezek
 
Sasa mkuu unashauri tutumie condom kwa ajili ya HIV, umesahau kuna ugonjwa kama Hepatitis B ambao unateketeza kuliko ukimwi unasemaje kuhusu hilo, au ndio utasema tuvae nguo za nylon, ikija kwa Corona tuvae barakoa Sasa tukifata masharti yote tutakuwa tunafanya ngono au? Maana ukifata masharti yote kwenye uvaaji utaonekana kama wale Askari wa zimamoto!

Dawa ni moja tu, tuache ngono!
Mkuu mi nashaur kitu kinachowezekana,unaeza kuacha wewe mwenzio akawa anafanya kama kawa
 
Ngoma sio tatizo sana siku hizi, watu qenye tatizo hilo wengi wanakunywa dawa, na ukinywa dawa vizuri uwezekano wa kuambulizwa ni mdogo sana, lakini pia hata ukiupata, arv zimeboreshwa sana ni kidonge kimoja tu kwa siku na pombe unakunywa, so tusiogope sana ukimwi.
 
Nilipiga demu mwenye ngoma, ila nilitumia condom,nimepiga kama mwezi mmoja, nilikua naogopa kupima.Leo nimekunywa pombe ili nipate confidence,nikaenda kupima Niko fresh, kuna agenda za mtaani eti condom haizuii ngoma, puuza utanishukuru baadae,HV hapa nipo napiga moja baridi moja moto,nikiwa na furaha kinomaaa,huku nikiangalia mechi ya yanga,naombea yanga ifungwe ili furaha yangu iongezeke
Hii ni kulingana na WHO ( A large body of scientific evidence shows that male latex condoms have an 80% or greater protective effect against the sexual transmission of HIV and other STIs).
 
Back
Top Bottom