mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Wapo Sana.hata Mimi nilikuwa siamini .
Ila juzi hapa kuna jamaa namjua kafa na ngoma.tena alikuwa hajui kuwa anao.
Ila juzi hapa kuna jamaa namjua kafa na ngoma.tena alikuwa hajui kuwa anao.
Hivi kuna ambae hajui Ukimwi upo? Nawashangaaga sana mnaosemaga hivi.