Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,541
- 18,649
Tumeumbwa ili Tumjue Mungu, Tumpende, Tumtumikie na mwisho Tufike kwake Mbinguni (kwa mujibu wa mafundisho yetu Wkatoliki).Wakuu habari za wasaa huu,
Leo nimeulizwa swali la ghafla na mdogo Wangu , nimeshindwa Nini cha kumjibu
Nikaona sio Vibaya niwashirikishe , pengine nikaambulia Jambo,
KUSUDI HASA LA BINADAMU KUWEPO DUNIANI NI NINI?
KWANINI TUMEUMBWA ?
nasema michango yenu karibuni👊