Tumetoka mbali

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,692
58,749
Tumetoka mbali
Nlidhani tutafika mbali
Lakini kumbe najidanganyaaa
Waweza nieleza
Wapi nilikosea
Maneno yako yanichanganyaaa


Nilikukubali…Hukunijali
Nilikupenda… Ukanitenda
Hata kama marafiki … naomba uache unafiki
Sema nini wewe ulitaka… Zaidi ya mimi kunipata
Taratibu hunny ungenambia
Nisije jidanganya utaponikimbia
Nakupenda baby mara nyingi ulinambia
Naumia sasa na sijui nani ntamlilia
Maisha yangu mimi umeyatia doaaa
Sijui nani tena atakayenitoaaa
Maumivu nnayoyasikiaaaa


Mapenzi… mapenzi ni kitu gani
Nsipopata toka kwako….. yangu ntampa nani
Urafiki ndio tulipoanzia....kufika katikati tukapotea njia
Kama nimekosa naomba msamaha
Nakuahidi sitokuletea karaha
Kama kukupenda…mimi nilikupenda
Na japo wanitesa sitoacha kukupenda
Nikisoma sielewi ….Sababu kwako sijiwezi
Chakula nacho kinarudi ….Kulia mimi sina budi
Kwaajili yako nliahidi kutopenda tena
Sababu nlijua nshapata wangu wakufa na kuzikana
Siwezi acha kulia ….Sababu naumia
Kama kwako nimeshindikana
Wapi mi ntawezekana
 
Tumetoka mbali
Nlidhani tutafika mbali
Lakini kumbe najidanganyaaa
Waweza nieleza
Wapi nilikosea
Maneno yako yanichanganyaaa


Nilikukubali…Hukunijali
Nilikupenda… Ukanitenda
Hata kama marafiki … naomba uache unafiki
Sema nini wewe ulitaka… Zaidi ya mimi kunipata
Taratibu hunny ungenambia
Nisije jidanganya utaponikimbia
Nakupenda baby mara nyingi ulinambia
Naumia sasa na sijui nani ntamlilia
Maisha yangu mimi umeyatia doaaa
Sijui nani tena atakayenitoaaa
Maumivu nnayoyasikiaaaa


Mapenzi… mapenzi ni kitu gani
Nsipopata toka kwako….. yangu ntampa nani
Urafiki ndio tulipoanzia....kufika katikati tukapotea njia
Kama nimekosa naomba msamaha
Nakuahidi sitokuletea karaha
Kama kukupenda…mimi nilikupenda
Na japo wanitesa sitoacha kukupenda
Nikisoma sielewi ….Sababu kwako sijiwezi
Chakula nacho kinarudi ….Kulia mimi sina budi
Kwaajili yako nliahidi kutopenda tena
Sababu nlijua nshapata wangu wakufa na kuzikana
Siwezi acha kulia ….Sababu naumia
Kama kwako nimeshindikana
Wapi mi ntawezekana

Hii kitu utadhani imeandikwa na rafiki yangu wa miaka mingi ambaye ametendwa hivi karibuni baada ya kumpenda binti kupindukia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom