HHHK
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 817
- 288
amuache tu
Lakini kumbuka wametoka mbali
Sent from my iPhone using JamiiForums
amuache tu
Kwa nn ulikimbilia kuoa jaman wakati hauna kazi pole sana watu tunapiga mzigo na bado tunaona hazitoshi ww unajiongezea mzigo tafuta hata kibarua cha kubeba zege coz huko unaweza kupata chanel huko jichanganye 2 pole sana kk tangu 2011 nilikuwa 1yr that tm
Fanya yako shost, jiamini, maisha yanawezekana bila yeye.
Mimi mwenyewe yalinisibu kama yako, mtu nimemvumilia weeee kaja kupata kazi akaanza kunionyesha vituko vya kila rangi. piga moyo konde fanya yako.
Pia usisahau kuomba Mungu akupe mwenye kheri na wewe.
Nimekua kwenye mahusiano kwa miaka mitano sasa na mpenzi wangu ambae ni mpenzi wangu wakwanza;maisha yalikuwa magumu lakini tulipambana na niliamini kwamba ipo Siku mambo yatakuwa sawa tuu kwa uwezo wa mwenyezi mungu baada ya miaka miwili kweli mwezangu alipata kazi nzuri maisha yakabadilika cha kushangaza toka apate kazi amekuwa akiniambia maneno ambayo siyaelewi "sio lazima mpaka ufe na Mimi; fanya yako "lakini tatizo ni kwamba bado na mpenda;lakini pia nahisi nikotayari kuendelea na maisha yangu please naombeni ushauri na nimezaa nae:
Lakini kumbuka wametoka mbali
Sent from my iPhone using JamiiForums
mwallu nimeiona hiimwenzie hajali tena walikotoka...we mpaka anamuambia si lazima mpaka afe na yeye?..kuna mapenzi tena hapo?..okay,tukisema avumilie,mpaka lini?..maana it seems ashavumilia sana tu...ila yeye ndo mwenye maamuzi