Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Maskini pole sana ila fanya mpango na wewe uanze kufanya yako maana huyo kaishaonesha nia kwamba hakuhitaji
Start your own new and fresh lifu......!!
Watu wabaya kakuharibu wee sasa hivi kapata na tuhela anakutosa' pole sana..
Wapo wengi hao mamaa...ila ndo walivo wakipata vijipesa tu wanadharau wazaman....pole xana mpndwa...yalishanikuta ayo...I knw hw it feelz lol..
Amemharibu vipi? maana ndio leo nasikia mtu anaharibika......hebu fafanua
Huoni kasema ndie mwanaume wake wa kwanza inamaana kwamba ndie kamtoa bikra pili kamtumia kwa miaka 5 yote leo hii anamuona sio si uharibifu huo!!??
Asante mkuu nimekuelewa
come to me mama s i will cure you baby..Nimekua kwenye mahusiano kwa miaka mitano sasa na mpenzi wangu ambae ni mpenzi wangu wakwanza;maisha yalikuwa magumu lakini tulipambana na niliamini kwamba ipo Siku mambo yatakuwa sawa tuu kwa uwezo wa mwenyezi mungu baada ya miaka miwili kweli mwezangu alipata kazi nzuri maisha yakabadilika cha kushangaza toka apate kazi amekuwa akiniambia maneno ambayo siyaelewi "sio lazima mpaka ufe na Mimi; fanya yako "lakini tatizo ni kwamba bado na mpenda;lakini pia nahisi nikotayari kuendelea na maisha yangu please naombeni ushauri na nimezaa nae:
Kusoma hujui picha huoni na masikio hayasikii eeeh
nazidi ku-prove men settle to love akiwa 'comfortable' kimaisha...hii ukisubiri mje lia kivulini wote SIIAMINI aisee,wamngoja mtu weee afu anaolewa mwenzio,hehhe i choose to be the latter...poleh dada...pick up ur self and move on