Nimekua kwenye mahusiano kwa miaka mitano sasa na mpenzi wangu ambae ni mpenzi wangu wakwanza;maisha yalikuwa magumu lakini tulipambana na niliamini kwamba ipo Siku mambo yatakuwa sawa tuu kwa uwezo wa mwenyezi mungu baada ya miaka miwili kweli mwezangu alipata kazi nzuri maisha yakabadilika cha kushangaza toka apate kazi amekuwa akiniambia maneno ambayo siyaelewi "sio lazima mpaka ufe na Mimi; fanya yako "lakini tatizo ni kwamba bado na mpenda;lakini pia nahisi nikotayari kuendelea na maisha yangu please naombeni ushauri na nimezaa nae: