".. Tumeshajiandaa kukata RUFAA Arusha.."


CHADEMA wanahonga waandishi waandikwe wao.
 

Ha! Preta na wewe! ....sawa na kunanihii kabisa kabisa.... Ni ni tena? Funguka mkuu wangu!
 
Last edited by a moderator:
Ha! Preta na wewe! ....sawa na kunanihii kabisa kabisa.... Ni ni tena? Funguka mkuu wangu!

Wewe.......hivi unajua mimi ni shahidi wa hiyo kesi......? subiri nikishatoa ushahidi nitakuonyesha........
 
Last edited by a moderator:
Sina Mbavu
Zote za msingi
burudani sana
 
pia kuna ushahidi umeusahau mkuu MKWELItu, kwamba cdm walitishia kutumia kamera za kielektroniki kumonitor mwenendo wa uchaguzi kitu ambacho kilizuia kura zilizokwishapigwa na mobox yake kushindwa kuingizwa na kuhesabiwa.
 

Huyu bkaka ccm atahakikisha inazikwa kichwa wakati miguu ikiachwa nje! safi sana kaka kusaidia kuizika ccm
 
Oyaaaah! mwenye huruma anirushie 500 ninunie kiroba.
 
Kuuliza si ujinga: HV hapa Mwigulu anapolia ni kwenye msiba wa waliopigwa mabomu Soweto au mwanachama wa Chama chetu adhimu cha Thithiem!?
 
Hii mbona burudani sana, mtashishitakiwa kwa kesu ya mauaji, maana kwa michango na sababu zinazotolewa hapa plus kichapo kilivyo kikubwa hakika wadau wa ccm wanaweza tenganinisha kichwa na kiwiliwili hivi hivi ama roho zao zikayeyuka ghafla na kuacha mwili pasipo taarifa rasmi.
 
Wanajamvi naomba kuuliza, wakati tunashughulikia haya mastaka....Je nyasi za msitu wa PANDE kwa ULIMBOKA zimeshakatwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa????????????????????????? Wale jamaa wakiamua hata maiti hazitaonekana.
 
Naona jamaa anampiga red card mkuu. Unaona wekundu wekundu apo?
 
Tena yananunuliwa sana wakati sisi tukiandikwa magazeti yanadoda..

magazeti yakiwa na vichwa vya habari ya CCM hayauziki kabisa angalia mfano gazeti la Mwananchi
 
Kuuliza si ujinga: HV hapa Mwigulu anapolia ni kwenye msiba wa waliopigwa mabomu Soweto au mwanachama wa Chama chetu adhimu cha Thithiem!?

Jamaa anasikitika bomu lingine kashindwa kulipua. Litamlipukia yy huyu mngese
 
Achana na udiwani hata kubisha hodi ikulu hatuhitaji fatuma bali sponji inatosha
 
Wanajamvi naomba kuuliza, wakati tunashughulikia haya mastaka....Je nyasi za msitu wa PANDE kwa ULIMBOKA zimeshakatwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa????????????????????????? Wale jamaa wakiamua hata maiti hazitaonekana.

Shukuru mabwe ni karibu Na bongo, Kama situ likiondolewa Basi Mtu atapelekwa misitu ya huko Kisarawe ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…