".. Tumeshajiandaa kukata RUFAA Arusha.."

".. Tumeshajiandaa kukata RUFAA Arusha.."

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
913
"tunazo Sababu Za MSINGI SANA kukata RUFAA ya Matokeo ya Udiwani kata zote Nne Za Arusha , Tunazo Sababu hizi Za msingi kabisa

1:- KWANINI tume ya uchaguzi isimamie uchaguzi wakati polisi wetu wazuri walishasema wao watasimamia Na kutusaidia kuhesabu kura Kwa Sababu wao wana macho mazuri zaidi kuliko sisi..

2:- KWANINI Lema alipiga kampeni kipindi kile Cha kampeni ? lema ana USHAWISHI Mkubwa sana huku Arusha asingepaswa kupiga kampeni Yeye angetulia tuli nyumbani kwake.

3:- KWANINI mawakala wa chadema walikataa kwenda kula chakula tulichowanunulia?!?! .. Ni kukiuka misingi ya utamaduni wetu Wa kufadhiliana .

4:- kuna watu tuliwapatia Takrima kidogo tu Kama shukrani lakini Kwa sababu tusiyoijua wakala vyetu wakatutosa Kwenye box la kura? .. Huu SIO utu, utakulaje jasho la Mtu kisha umtose..

5:- Jeshi la polisi lilitangaza kwamba Hapana Mtu kushangilia USHINDI HUO, lakini kuna watu walikiuka amri hiyo wakashangilia hadi Usiku wa manane HII ni kuvunja amri ya Jeshi, walipaswa wakae Ndani mwao Kama msibani vile wao wakashangilia so ni kosa Hilo.

6:- kuna baadhi ya Waliokuwa VIONGOZI Wa BAVICHA ya CDM, walioasi huko, VIONGOZI hawa tumewaweka mstari Wa Mbele Kwenye Chama chetu wakieneza siasa Za Matusi Na uzandiki .. KWANINI Arusha hawakuelewa ?!??.."
Mimi naomba niwe shaidi wa magamba kwenye kesi namba 6........CDM ni wa kushtaki kabisa......wenzao waliwatukana kwa mdomo......kwa nini wasirudishe nao kwa mdomo.......kumtukana mwenzio kwa vitendo ni sawa na kuanika utupu wake hadharani.......hiyo haikubaliki hata rasimu ya katiba imesema.......matusi ya namna hiyo ni mabaya sana ni sawa na kunanihii kabisa kabisa......
.
CHEKSHIA Basi maushahidi nkhu-nkha-- TUNAZIIIDI KUYAPOKEA.. Chadema tutawakomesha zis yia KWANINI wawe Na kasi kiasi hiki ?

Nyongeza,
Mwekiti wa Tume alikiuka misingi ya utawala bora wa CCM kwa kuwakataza Mkuu wa Mkoa na RPC kusimamia uchaguzi
na kuwanyima haki ya kuzungukia vituo vya kupigia kura.

Chadema walikiuka misnging bora ya analogia kwa kutangazia umma wana vifaa vya kisasa vya kunasa matukio yote ya uchaguzi, hali iliyowaogopesha wasimamizi wa chama chetu cha mapinduzi kukosa mwanya wa kuiba kura.

tatu mawakala wa chadema walikataa kula pamoja na mawakala wa chama chetu na pia kukaataa kupokea takrima tuliyowaahidi kila mmoja kujengewa nyumba na kununuliwa gari, Hii imesababisha chama chetu kupoteza hela nyingi.

Mwisho chadema wamekiabisha sana chama chetu kwa kushinda kwa asilimia kubwa huku wakijua wazi
hili ni kosa kubwa sana wanatakiwa kulipa fidia kubwa..

TUnaiomba mahakama itengue ushindi wa chadema kwa vile haukuwa huru na haki,wagombea wao walikataa mwito halali wa kususia uchaguzi na pia tulitumia garama kubwa kwenda China kujifunza mbinu zote za kushinda na kuharibu uchaguzi.
..
Nimeipenda sana hii naskia kuna mabomu mapya Jeshi letu liliyanunua Na yangetumika kuwanyuka Cdm sasa zoezi hilo halijufanyika so lazima uchaguzi urudiwe ili testing ya mabomu ifanyike Kwa KUWANYUKA CDM, Kama testing haitafanyika twaweza kuuziwa vitu feki Na Taifa letu likapoteza hela Nyingi sana .. Hamuoni hili?
Kaka Manyerere nimeipenda hii.
Nimeshatoa sababu ya 7 hapo juu na

sababu ya 8.CDM walikuwa wanaandikwa sana na vyombo vya habari kuliko vyama vingine...why..huwaii ..kwanini.

Sababu ya 9.poliCCm hawakutumia mabomu ya machozi na kamatakamata kwa wafuasi na viongozi wa CDM!


..
 
"tunazo sababu za msingi sana kukata rufaa ya matokeo ya udiwani kata zote nne za arusha , tunazo sababu hizi za msingi kabisa

1:- kwanini tume ya uchaguzi isimamie uchaguzi wakati polisi wetu wazuri walishasema wao watasimamia na kutusaidia kuhesabu kura kwa sababu wao wana macho mazuri zaidi kuliko sisi..

2:- kwanini lema alipiga kampeni kipindi kile cha kampeni ? Lema ana ushawishi mkubwa sana huku arusha asingepaswa kupiga kampeni yeye angetulia tuli nyumbani kwake.

3:- kwanini mawakala wa chadema walikataa kwenda kula chakula tulichowanunulia?!?! .. Ni kukiuka misingi ya utamaduni wetu wa kufadhiliana .

4:- kuna watu tuliwapatia takrima kidogo tu kama shukrani lakini kwa sababu tusiyoijua wakala vyetu wakatutosa kwenye box la kura? .. Huu sio utu, utakulaje jasho la mtu kisha umtose..

5:- jeshi la polisi lilitangaza kwamba hapana mtu kushangilia ushindi huo, lakini kuna watu walikiuka amri hiyo wakashangilia hadi usiku wa manane hii ni kuvunja amri ya jeshi, walipaswa wakae ndani mwao kama msibani vile wao wakashangilia so ni kosa hilo.

6:- kuna baadhi ya waliokuwa viongozi wa bavicha ya cdm, walioasi huko, viongozi hawa tumewaweka mstari wa mbele kwenye chama chetu wakieneza siasa za matusi na uzandiki .. Kwanini arusha hawakuelewa ?!??.."

kwani wewe ni nani?
 
Du, ama kweli! Kwa Tanzania sababu hizi zinatosha kutengua matokeo! Kama Iddi Simba kaachiwa ilhali ushahidi ukiwa wazi kwa asilimia 100, sioni kwanini Chadema wasipokwe ushindi wa udiwani Arusha kwa sababu hizi!!!
 
7.Wamesababisha haya kutokea kwa miguu michemba na wafuasi wa shetani.
2.jpg

kwani wewe ni nani?

Unauliza majibu?Kwanza ktk taratibu zinazoeleweka wewe ulitakiwa ujitambulishe kwanza hasa ukizingatia huyu jamaa kawasaidia kuandaa hoja za rufaa.Tehetehetehe nimeipenda hii.
 
Rufaa lazima aisee! Yaani pamoja na kuwatisha wapiga kura wao kwa kuwalipulia bomu kwenye mkutano wao bado tu walijitokeza?

Hapa hakukuwa na haki kabisa!
Lazima tuende mahakamani!

Stay tuned!
 
Du, ama kweli! Kwa Tanzania sababu hizi zinatosha kutengua matokeo! Kama Iddi Simba kaachiwa ilhali ushahidi ukiwa wazi kwa asilimia 100, sioni kwanini Chadema wasipokwe ushindi wa udiwani Arusha kwa sababu hizi!!!
Kaka Manyerere nimeipenda hii.
Nimeshatoa sababu ya 7 hapo juu na sababu ya 8.CDM walikuwa wanaandikwa sana na vyombo vya habari kuliko vyama vingine...why..huwaii ..kwanini.Sababu ya 9.poliCCm hawakutumia mabomu ya machozi na kamatakamata kwa wafuasi na viongozi wa CDM!
 
"tunazo Sababu Za MSINGI SANA kukata RUFAA ya Matokeo ya Udiwani kata zote Nne Za Arusha , Tunazo Sababu hizi Za msingi kabisa

1:- KWANINI tume ya uchaguzi isimamie uchaguzi wakati polisi wetu wazuri walishasema wao watasimamia Na kutusaidia kuhesabu kura Kwa Sababu wao wana macho mazuri zaidi kuliko sisi..

2:- KWANINI Lema alipiga kampeni kipindi kile Cha kampeni ? lema ana USHAWISHI Mkubwa sana huku Arusha asingepaswa kupiga kampeni Yeye angetulia tuli nyumbani kwake.

3:- KWANINI mawakala wa chadema walikataa kwenda kula chakula tulichowanunulia?!?! .. Ni kukiuka misingi ya utamaduni wetu Wa kufadhiliana .

4:- kuna watu tuliwapatia Takrima kidogo tu Kama shukrani lakini Kwa sababu tusiyoijua wakala vyetu wakatutosa Kwenye box la kura? .. Huu SIO utu, utakulaje jasho la Mtu kisha umtose..

5:- Jeshi la polisi lilitangaza kwamba Hapana Mtu kushangilia USHINDI HUO, lakini kuna watu walikiuka amri hiyo wakashangilia hadi Usiku wa manane HII ni kuvunja amri ya Jeshi, walipaswa wakae Ndani mwao Kama msibani vile wao wakashangilia so ni kosa Hilo.

6:- kuna baadhi ya Waliokuwa VIONGOZI Wa BAVICHA ya CDM, walioasi huko, VIONGOZI hawa tumewaweka mstari Wa Mbele Kwenye Chama chetu wakieneza siasa Za Matusi Na uzandiki .. KWANINI Arusha hawakuelewa ?!??.."
Sijui kama unatania! Hoja kama hizi ni za maana kabisa kwa viongozi wa ccm. Nadhani watakata rufaa
 
Nyongeza,
Mwekiti wa Tume alikiuka misingi ya utawala bora wa CCM kwa kuwakataza Mkuu wa Mkoa na RPC kusimamia uchaguzi
na kuwanyima haki ya kuzungukia vituo vya kupigia kura.

Chadema walikiuka misingi bora ya analogia kwa kutangazia umma wana vifaa vya kisasa vya kunasa matukio yote ya uchaguzi, hali iliyowaogopesha wasimamizi wa chama chetu cha mapinduzi kukosa mwanya wa kuiba kura.

tatu mawakala wa chadema walikataa kula pamoja na mawakala wa chama chetu na pia kukaataa kupokea takrima tuliyowaahidi kila mmoja kujengewa nyumba na kununuliwa gari, Hii imesababisha chama chetu kupoteza hela nyingi.

Mwisho chadema wamekiabisha sana chama chetu kwa kushinda kwa asilimia kubwa huku wakijua wazi
hili ni kosa kubwa sana wanatakiwa kulipa fidia kubwa..

TUnaiomba mahakama itengue ushindi wa chadema kwa vile haukuwa huru na haki,wagombea wao walikataa mwito halali wa kususia uchaguzi na pia tulitumia garama kubwa kwenda China kujifunza mbinu zote za kushinda na kuharibu uchaguzi.
 
siku NYANI KUFA MITI YOOTE TELEZA TELEZA KABISA!!!!! Na hii ni mwanzo tu TSUNAMI yaja na nilijua tu ,maneno jatakuja mara ooh KURA ZA HURUMA si mgechakachua kama mlivyozoea? tunamgoja huyo mzeewenu Ndg MWINYI-MVI hata yeyote yule wembe ni uleule tehetehetehihihiiiiiiiiii!!!!! sipati picha Bw. JONAS SAVIMBI wao na genge lake wanajisikiaje, Yaani huruma!!!!!!!!
 
Na tutahakikisha kesi anapewa jaji aliye pata stroke mara baada ya kumpokonya ubunge Lema
 
"tunazo Sababu Za MSINGI SANA kukata RUFAA ya Matokeo ya Udiwani kata zote Nne Za Arusha , Tunazo Sababu hizi Za msingi kabisa

1:- KWANINI tume ya uchaguzi isimamie uchaguzi wakati polisi wetu wazuri walishasema wao watasimamia Na kutusaidia kuhesabu kura Kwa Sababu wao wana macho mazuri zaidi kuliko sisi..

2:- KWANINI Lema alipiga kampeni kipindi kile Cha kampeni ? lema ana USHAWISHI Mkubwa sana huku Arusha asingepaswa kupiga kampeni Yeye angetulia tuli nyumbani kwake.

3:- KWANINI mawakala wa chadema walikataa kwenda kula chakula tulichowanunulia?!?! .. Ni kukiuka misingi ya utamaduni wetu Wa kufadhiliana .

4:- kuna watu tuliwapatia Takrima kidogo tu Kama shukrani lakini Kwa sababu tusiyoijua wakala vyetu wakatutosa Kwenye box la kura? .. Huu SIO utu, utakulaje jasho la Mtu kisha umtose..

5:- Jeshi la polisi lilitangaza kwamba Hapana Mtu kushangilia USHINDI HUO, lakini kuna watu walikiuka amri hiyo wakashangilia hadi Usiku wa manane HII ni kuvunja amri ya Jeshi, walipaswa wakae Ndani mwao Kama msibani vile wao wakashangilia so ni kosa Hilo.

6:- kuna baadhi ya Waliokuwa VIONGOZI Wa BAVICHA ya CDM, walioasi huko, VIONGOZI hawa tumewaweka mstari Wa Mbele Kwenye Chama chetu wakieneza siasa Za Matusi Na uzandiki .. KWANINI Arusha hawakuelewa ?!??.."

Nao,mba uwakili kwenye kesi hii ya msingi kabisa yani!
 
7.Wamesababisha haya kutokea kwa miguu michemba na wafuasi wa shetani.
2.jpg



Unauliza majibu?Kwanza ktk taratibu zinazoeleweka wewe ulitakiwa ujitambulishe kwanza hasa ukizingatia huyu jamaa kawasaidia kuandaa hoja za rufaa.Tehetehetehe nimeipenda hii.

JF ni kila kitu, sasa hii picha uliipataje Mkuu, au ni mambo ya Photoshop ? Kwani kuna mtu aliyepewa dhamana ya kuwa Kiongozi maisha yote hadi kulilia uongozi kiasi hicho ? Na liwe fundisho kwa wale wote wenye tabia kama hizo.
 
Kabla ya tarehe 15/06/2013 kulikuwa na hamasa ya wengi kushiriki uchaguzi na tungelishinda kama uchaguzi ungefanyika tarehe 16/06/2013. Lakini baada ya madhila ya bomu letu na maaskari wetu watu wa Arusha hasa hasa wafuasi wetu walitishika sana na hawakujitokeza jana siku ya uchaguzi kama tulivyodhani.
Sisi tulijua kuwa kwa yote yaliyoratibiwa na wataalamu wetu wafuasi wa CDM wangeogopa na hivyo tungeshinda kwa kishindo! Pesa zipo hivyo tutakata rufaa ili uchaguzi ufanyike kwenye "fair grounds" kama ambavyo ingefanyika kabla ya tarehe 15/06/2013.

Jamani wanachama wetu wenye uwezo wa kujitetea mahakamani wajitokeze...Tutalipia gharama zote hata kama umetoka mikoa mingine tofauti na Arusha
 
Mimi naomba niwe shaidi wa magamba kwenye kesi namba 6........CDM ni wa kushtaki kabisa......wenzao waliwatukana kwa mdomo......kwa nini wasirudishe nao kwa mdomo.......kumtukana mwenzio kwa vitendo ni sawa na kuanika utupu wake hadharani.......hiyo haikubaliki hata rasimu ya katiba imesema.......matusi ya namna hiyo ni mabaya sana ni sawa na kunanihii kabisa kabisa......
 
Ha ha meseji sent-Wamekaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom