Tumempata Mbunge wetu sisi Wakwele wa Chalinze Hongera....Mbunge wetu Mh,R.JK.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,579
33,680
10881693_586744121425216_2897038241635896862_n.jpg


1456769_586744118091883_9085104790313398863_n.jpg


10801938_586744124758549_6770990466529822273_n.jpg


10390263_586744164758545_5338602301358511290_n.jpg


KIJIJI CHA MSOGA ,CHALINZE CHAKULA CHA KIKWELE (BAMBIKO)


SHEREHE ZA KUKARIBISHWA MBUNGE WA CHALINZE NA WAZEE WA MSOGA NA CHAKULA CHA MILA YA KIKWELE BAMBIKO..........................
 
Kama kawaida naona riZ 1 unajipa Promo wape ugali wapumbazike si unajua kabila hilo kwa kupenda vya bure hawajambo
 
mzee wa Rizimoko angekuwa na maamuzi angekusaidia saana kisiasa huko mbeleni ila anayofanya sahau Anavyomalizia ndo kumbukumbu zitakazodumu wakati wa kufanya maamuzi hafanyi atakuja tamani akiwa nje atakuta tumemkabidhi Mwingine kama imekuuma mwambie angalie anavyomalizia anaacha nch.i na maamuzi gani ya kubebana ama ya kiwanaume
 
Chakula cha kimila ni kuku? Pamoja na hayo hawezi kurudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu
 
yaani mswahili ukishamjali tumbo umemaliza kila kitu...
_hilo jimbo ndio masikini tz nzima ona badala wazindue zahanati au mashule wao ni ubwabwa tu!
 
Baba wa huyu mbunge alishawahi kukiri hadharanimkuwa alikuwa mwizi wa ubwabwa kule JKT...hivyo basi hawa watu ni asili yao kupenda ubwabwa
 
Back
Top Bottom