Tumelishwa sumu ya kuwachukia waarabu, Wazungu wanatuua, wanatuibia, Mwadui,barick, Geita

lkn mzee. Wazungu wanatuibia sana tz. Kila kukicha mali zetu huko ulaya. Lkn ukiomuona mzungu unamuona mkombozi. Mwarabu aliopo kwake na biashara yake ya mafuta unamuona adui. Mzungu anaeiba mali unamuona mkombozi. Tuondokane na mtongo haya
kaka mzungu anatoa misaada hata kama katuibia,anatutibu tukiugua.mwarabu hana msaada na hata akitoa ni kwa watu wenye dini moja na yeye na hata hao sasa awajengee hata chuo kikuu,yeue anatoa makontena ya tende.juzijuzi walitoa makontena ya nyama kutoka dubai na sisi waislam tukakimbilia utadhani ni msaada wa maana.
Tubadilike.mwarabu hatujamchukia ila hana msaada ndio maana watu wengine wanaunganisha na dini yao wanahisi na wao wanabaguliwa.ngoja nikupe mfano uufuatie.
Nyumba iona watoto wa kiume sita na wakike kadhaamkubwa anakaa nyumbani kazi yake ni kulima mashamba ya watu kijijini.\ wa pili yupo arusha ana miliki biashara kubwa.
Wa tatu yupo da aqna mabasi ya mikoani.
Wa nne ni mwizi anamiliki bar pale london(uingereza)
wa tano ana duka hapo kijijini wa sita yupo chuo kikuu.
Kwa kawaida kabisa ukikaa na ndugu wa hawa jamaa kibinadamu bila chuki ukiwauliza nani hana maana watakuambia ni kaka mkubwa.
Ukiuliza je huyu mwizi?watamtetea na kukuambia ulete ushahidi
je huyu anaesoma watakuambia ni kipenzi chao kwani bado yupo shuleni.

Mwarabu kajiloga mwenyewe kwa bkukalia utajiri,kuna kaka achahasira hapo juu kaainisha vizuri mwarabu alikuwa mtaalamu wa hesabu lakini alipeleka wapi huo nutaalamu?
Mungu akikupa kitu na ukashindwa kukiendeleza na kuwainua wenzako anakunyang,anya,kila miaka inavyoenda mwarabu anazidi kurudi nyuma tu kwa sababu ya uchoyo na ubaguzi.
Sasa hivi mzungu anaandaa mpango kabambe wa magari ya umeme na mitambo ya kutumia gesi na urenium.
Wakati huo gharama ya kuendesha jiji moja pale uarabuni ni mara kumi ya majiji ya ulaya na marekani.
Mwarabvu hajashtuka hilo yeye na mafuta na used kutoka japan,baada ya miaka 50 hakuna tena biashara ya mafuta duniani.
Na huyo mzungu keshamwibia na kunun ua mafuta ya kutosha miaka 50 bado anataka aibe hapo libya mafuta ya kama miaka 10 ya akiba ndipo apige stop nchi za marekani na wanachama wa nato kununua mafuta kwa hiyo miaka 50,waarabu watabaki na nchi maskini kama tanzania ndio wateja wa mafuta ambayo hayata weza kugharamia miji ya ghali ya hukoa jangwani,na baada ya hiyo miaka hata hao tanzania hawatawaona kwani nao watakuwa wameshaingia kwenye magari ya kuchaji kama simu.
Kaka waarabu hata ukiwapenda namna gani hawana maana dunia inabadilika wao ni kulalamika tu wakati ndio wakubwa wa kwanza dunuani,tujiulize waliachwa wapi?hata kama waliibiwa nia wazungu basi ni wajinga na waswahili walishasema ukioga na mjinga hutakati.
Kaka usingizi umeniingia ninayo mengi ya kukuambia ila naona wengine mmelemazwa na sheikh hunga kapungu.
Tuonane keshoh.
 
Wengi wa TZ tumelishwa sumu eti kuwaona waarabu ni watu hatari, kubwa zaidi tunaambiwa ni biashara ya utumwa imeanzishwa na wao.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona wazungu ndio waliotufanyia biashara hii. Vita baridi na udini kwa namna nyingine umeingizwa sumu hii ili kuwachukia waarabu.

Lakinicha ajabu hao wazungu wanaotupenda wanaiba rasilimali zetu, dhahabu mikataba mibovu ndio tunajivunia, na huko libya nako waafrika tunamalizwa.
.

Hao waarabu waliochukua babu zetu utumwani huko kwao, mbona leo hatuna kizazi cha African Arabian, je walipotelea wapi?
 
Towa z kwenye mzungu, jibu lake ndiyo mapunguani wengi walivyoaminishwa. Mzungu kwao ni mungu na mungu hana makosa.
 
Back
Top Bottom