Wengi wa TZ tumelishwa sumu eti kuwaona waarabu ni watu hatari, kubwa zaidi tunaambiwa ni biashara ya utumwa imeanzishwa na wao.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona wazungu ndio waliotufanyia biashara hii. Vita baridi na udini kwa namna nyingine umeingizwa sumu hii ili kuwachukia waarabu.
Lakinicha ajabu hao wazungu wanaotupenda wanaiba rasilimali zetu, dhahabu mikataba mibovu ndio tunajivunia, na huko libya nako waafrika tunamalizwa.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona wazungu ndio waliotufanyia biashara hii. Vita baridi na udini kwa namna nyingine umeingizwa sumu hii ili kuwachukia waarabu.
Lakinicha ajabu hao wazungu wanaotupenda wanaiba rasilimali zetu, dhahabu mikataba mibovu ndio tunajivunia, na huko libya nako waafrika tunamalizwa.