Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,933
- 31,178
Jana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas 🎄 majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas 🎄 majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.