tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
wakuu tupo safari ya dar-bukoba, toka saa 9 gari limeharibika hapa Bai, hapa hamna hata dalili ya kuondoka..wanazidi kutupa moyo tu.
Asee mkuu pole sana senene hazitaharibika kweli
Poleni sana; mbaya kukata tamaa. Mwenyezi Mungu atasaidia mtafika salama. Don't despair mkulu!
Kaka pole mi leo nimeteseka na green star mpaka sina hamu nilikua naenda mwanza ikabidi waturudishe ubungo ndipo tukarudishiwa nauli nikapanda mohamed tras mpaka dom nimelala mpaka kesho niondoke tena. Nimeshapata hasara yakulala gest
Mabasi mengine bwana!
poleni sana,usilalame sana ,bahati ni hapo,je lingeharibikia mapori ya ushirombo si ingekoma na kukoma?