Ni kweli jeshi limekubali hali hii? Lockdown siku 1.5 plus kwa ajili ya kumlinda Samuya na Kiwete?
Mahitaji ya vijana yajulikana ni matatizo ya nchi pia.
1. Wanahitaji katiba mpya ili waweze kuchagua viongozi wanaowataka. Kukowa na tume huru ya uchaguzi mambo yanakwisha.
2. Upendeleo kazini usiwepo
3. Somewhat utekaji
4. Mitandao ya kijamii isifungwe mfano Jamiiforums na X. Humu vijana
wanafanya biashara na kujikimu.
Naamini hakuna Gen Z anayetaka madaraka.
Nashauri
1. Uchaguzi Ufutwe
2.Kuundwe serikali ya epitome hata two years
3. Serikali ya mpito itengeneze katiba na sheria zingine kuendana na mazingira.