My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
Ni unafiki tu ndo umetawala ndani ya taifa hili, kila mtu anaogopa kusema ukweli, na anayethubutu atashugulikiwa na watu wasiojulikana.
Ni Kakobe mtumishi wa kweli wa Mungu ndo kathubutu, huku Tundu Lissu akiugua kwa kuchakazwa kwa risasi.
Demokrasia imezikwa, uhuru wa habari umezikwa, kupotea, kufungwa na kuuawa ndo jadi imekuwa.
Mungu hawezi kubariki taifa la wanafiki Kama Tanzania, nasema hawezi kubariki kwa sababu Mungu si mwanadamu anayekumbatia Unafiki.
Uko wapi Ben Saanane? Ulipotea kwa sababu ya kukosoa?
Uko wapi Azori? Na wewe umepotea kwa ya uandishi wako?
Tundu Lissu na wewe kosa lako lilikuwa nini?
Hakuna baraka kwa taifa linalomwaga damu zisizo na hatia.
Ni Kakobe mtumishi wa kweli wa Mungu ndo kathubutu, huku Tundu Lissu akiugua kwa kuchakazwa kwa risasi.
Demokrasia imezikwa, uhuru wa habari umezikwa, kupotea, kufungwa na kuuawa ndo jadi imekuwa.
Mungu hawezi kubariki taifa la wanafiki Kama Tanzania, nasema hawezi kubariki kwa sababu Mungu si mwanadamu anayekumbatia Unafiki.
Uko wapi Ben Saanane? Ulipotea kwa sababu ya kukosoa?
Uko wapi Azori? Na wewe umepotea kwa ya uandishi wako?
Tundu Lissu na wewe kosa lako lilikuwa nini?
Hakuna baraka kwa taifa linalomwaga damu zisizo na hatia.