MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
- Thread starter
- #41
Ni hatari sana. Naona ni hawa mafundi na vibarua wa hizi sites sema ni ngumu hadi kumpataGona + Salasala ndio kawaida kuibiwa tv na sijui why? Me niliibiwa wakat nimehamia na miez miwili inch 55 aisee iliniuma
Hata week haikuisha ndg yangu nae akaibiwa Goba
Sent using Jamii Forums mobile app