Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Ndugu, moja ya matatizo makubwa ya Watanzania ni pamoja na kukosa uzalendo na moyo wa kupigania nchi yetu Tanzania. Hili tatizo lipo kwa wananchi wa chini pia na viongozi wa juu katika serikali.
Jambo ninaloliona wazi hapa ni kuwa Watanzania tumefundishwa kupenda Chama badala ya kupenda nchi. Ndiyo maana mpaka leo wakubwa wanafanya kila njia kulinda vyama vyao lakini hawana juhudi kubwa sana kwenye kulinda nchi yao Tanzania.
Tubadirike, tubadirishe mwelekeo wetu.
Jambo ninaloliona wazi hapa ni kuwa Watanzania tumefundishwa kupenda Chama badala ya kupenda nchi. Ndiyo maana mpaka leo wakubwa wanafanya kila njia kulinda vyama vyao lakini hawana juhudi kubwa sana kwenye kulinda nchi yao Tanzania.
Tubadirike, tubadirishe mwelekeo wetu.