sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
umenifurahisha.naye yupo humu jf atakuja kukushauri
umenifurahisha.naye yupo humu jf atakuja kukushauri
Kwani anataka ukajitambulishe kama mchumba ama kama rafiki? Well, binafsi huwa naona kuwa na a very open relationship ni faida, utawajua nduguze pia na ku-observe mahusiano yake na nduguze. Shukuru Mungu kaka, wenzio wanadate mwaka na mdada hataki ameet nduguze, ukiambiwa niko na mamdogo huruhusiwi kutuma hata sms achia mbali kupiga simu. Nakushauri ukutane na nduguze maybe kasoro baba, na ujitambulishe kama rafiki.
Swali: tayari unajiskia kama boyfriend wake? Uko tayari kuanza kumuona kama mchumba wako?
Wadau heshima zenu,
Kuna dada tumefahamiana kama miezi miwil hivi, tumekuwa tukichati na kubadilishana mawazo. Mi mwanzon nikawa namvutia kasi, ila yy ndo akaanza kuniita mpenzi nikajua basi huyu kashanasa, Mi sikuona sababu ya kumkatalia coz hata mm kimoyomoyo nilikuwa nimevutiwa nae.
Wakati tunaendelea kuwasiliana akaja na sera nyingine anataka nikajitambulishe kwao kuwa mimi ndo mchumba wake.
NB: tunafanya kazi sehemu moja ila vitengo tofauti, kuonana ni wakati wa tea/ lunch,
Je kuna kitu anataka kukificha ndo maana anataka nikajicommit kwa wazazi?
Mi hilo hilo sijaliafiki moyoni mwangu manake nahisi kama vile anataka kunipiga changa la macho, kwa nn tukajitambulishe harakaharaka?
sasa kila wakati ananiuliza kuwa nitamuoa lini, mi huwa nashindwa kumpa jibu.
Hebu wadau nishaurini niendelee na msimamu wangu wa kutia ngumu au nilegee niende?
thnx
Mdau nashukuru ushauri wako nitauzingatia.Haraka ya nini ndugu yangu, wewe ni mwanaume,una kauli katika hili na unapaswa kuwa kiongozi....chukua muda kumfahamu huyo dada vizuri, hata miezi ya kupima HIV hujamaliza....usicheze na commitment utakayoiweka kwa wazazi wake...ukiivunja una laana yako.
Zungumza nae kwa hekima na umshauri asubiri kidogo,mzidi kufahamiana na ikiwapendeza mchukue hatua ya kuwaona wazazi huko mbele.
Nashukuru kwa ushauri,Like like like!
Kama anataka kumfahamu huyo mdada, hakuna njia nzuri kama kumeet ndugu zake! Unless hayupo interested! Anaweza kujitambulisha kama colleague tu. Mdada knows what she wants, ila mkaka is kinda scared; naona watamake good couple; mdada is active na mkaka reflective (sijui wanasaikolojia wanawaterm vipi)