Nanyie f6 mliopata vyuo si mtulie daa siye wa nacte mnatupa shida tuu pressure baadhi ya watu wako ICU wanaumwa kutokana na NACTE kuchelewa kutoa selection.PLZ WALE WENZANGU WA NACTE HEBU TUWE WAVUMILIVU.
kuna watu humu ndan wamefel form 6 haswa na hawana hata sifa ya kuomba chuo je na wao wajiskie vipi? kwenda ICU ? cha muhimu vumilia tu kila mtu ana uhuru wake.