samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,250
Lord denning,
Lete fact mkuu, uchumi unakua kwa zaidi ya 7% by NBS na pato la Mtanzania limekuwa kwa taarifa ya juzi ya Dr Mpango.. Siumeona hata wale kwenye ripoti yao nao namna uchumi wetu ulivyomature mpaka tuko kundi moja na Nigeria, SA, Egypt, Tunisia na Algeria..
Lete fact mkuu, uchumi unakua kwa zaidi ya 7% by NBS na pato la Mtanzania limekuwa kwa taarifa ya juzi ya Dr Mpango.. Siumeona hata wale kwenye ripoti yao nao namna uchumi wetu ulivyomature mpaka tuko kundi moja na Nigeria, SA, Egypt, Tunisia na Algeria..