Nina hamu ya kuangalia orodha ya UDOM maana waarabu wamempa masharti kwamba namba ya waislam wazidi 75% ya total number ! maana wao ndo wafadhili wakuu. It is shameful that JK will leave the post with the legacy of nepotism
<br /><br />
<br /><br />
NA wanaofaulu ni asilimia ngapi? Si ajabu hata hiyo kumi wamependelewa. Wewe ulisoma primary, hebu angalia watu waliokuwa wanakaa mgongoni kwako, kushoto kwako, kulia kwako na mbele yako walikuwa watu gani? Na wakafaulu vipi mlipoondoka hapo? Kuna mwislamu yoyote mwenye sifa kalalamika kutochaguliwa shule? Sasa hizi asilimia 75 unataka mkawachukue hata wauza machungwa? Hebu tuache ujinga bwana. Ati fanya utafiti, utafiti kaangalie wangapi walikuwa na sifa, tena sio sifa tu, maana sifa pia waweza ukawa nayo, mwenzako akakuzidi ukaachwa.
Utawapata wapi huku juu kama huko chini hukuwanao? Wenzenu walikuwa wanaenda sunday school jumapili asubuhi, na siku zote tuition, wewe sijui ulifanyaje...
Yaani, these people are completely INCOMPETENT. They cannot even present a list of names properly much less on time. Their graduate degrees ought to be MI, that is Master of Incompetence. I hear that some of these professors have fake PhDs just like a good number of their fellows in politics. To put such incompetent people in charge of the entire country's university education is criminal and in fact tantamount to treason. There is no better way of destroying a nation than destroying the thinking capacity of its future leaders.