Tume ya uchaguzi punguzeni wabunge na madiwani viti maalum wa CHADEMA

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi Mgawanyo wa viti maalumu hufanyika kwa kutegemea idadi ya wabunge na madiwani wa kuchaguliwa ambao chama kinao.

Chadema wabunge wa kuchaguliwa na madiwani wa kuchaguliwa wengi wameondoka na CCM IMESHINDA chaguzi na kuongeza idadi ya wabunge na madiwani kwenye kapu lake.

Ajabu tume haipunguzi idadi ya wabunge na madiwani wa viti maalumu chadema, wamebaki wale wale kinyume na formula ya mgawanyo.Inatikiwa CCM IDADI ya viti maalum iongezwe na ile ya chadema ipunguzwe.

Chadema washauriwe wapeleke majina tume ya wabunge na madiwani viti maalumu ambao inabidi wapunguzwe kukidhi matakwa ya hiyo formula.

Kwa kuwasadia Chadema ili wasiumize vichwa sana nashauri mmoja anayetakiwa kupunguzwa kwa maoni yangu napendeza wa kwanza awe mbunge viti maalum Joyce Mukya.
 
Waambie mkifute kabisa chama ili mbakie wenyewe
tume ya uchaguzi ipunguze tu idadi ya wabunge na madiwani viti maalumu chadema mfano chukulia wabunge na madiwani wote wa kuchaguliwa wa CHADEMA wamehamia CCM na CCM IMESHINDA viti vyote.Hao wabunge na madiwani viti maalumu wa CHADEMA wataendelea na ubunge na udiwani wao wakati hakuna hata mbunge au diwani mmoja wa kuchaguliwa wa chadema?. Tume iwapunguze tu
 
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi Mgawanyo wa viti maalumu hufanyika kwa kutegemea idadi ya wabunge na madiwani wa kuchaguliwa ambao chama kinao.Chadema wabunge wa kuchaguliwa na madiwani wa kuchaguliwa wengi wameondoka na CCM IMESHINDA chaguzi na kuongeza idadi ya wabunge na madiwani kwenye kapu lake.Ajabu tume haipunguzi idadi ya wabunge na madiwani wa viti maalumu chadema, wamebaki wale wale kinyume na formula ya mgawanyo.Inatikiwa CCM IDADI ya viti maalum iongezwe na ile ya chadema ipunguzwe.

Chadema washauriwe wapeleke majina tume ya wabunge na madiwani viti maalumu ambao inabidi wapunguzwe kukidhi matakwa ya hiyo formula .Kwa kuwasadia Chadema ili wasiumize vichwa sana nashauri mmoja anayetakiwa kupunguzwa kwa maoni yangu napendeza wa kwanza awe mbunge viti maalum Joyce Mukya.
Mimi napendekeza angela kariuki
 
Mkuu ungekuwa na uelewa kidogo tu kima inzi(yaani ungekuwa na akili kama ya inzi tu) usingesema.

Nenda kasome tena sheria inayoipa mamlaka tume kuteua viti maalumu. Ukimaliza uje hapa either ufute huu uzi au uombe radhi
 
Unataka wapunguzwe ili mkileta ile ajenda ya miaka 7 ipite kirahisi?
Ni matakwa ya formula sio mimi nataka. CCM tunapunjwa na Tume tunatakiwa tuongezewe idadi ya wabunge na madiwani wa viti maalumu,Chadema wa kwao wanatakiwa wapunguzwe
 
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi Mgawanyo wa viti maalumu hufanyika kwa kutegemea idadi ya wabunge na madiwani wa kuchaguliwa ambao chama kinao.Chadema wabunge wa kuchaguliwa na madiwani wa kuchaguliwa wengi wameondoka na CCM IMESHINDA chaguzi na kuongeza idadi ya wabunge na madiwani kwenye kapu lake.Ajabu tume haipunguzi idadi ya wabunge na madiwani wa viti maalumu chadema, wamebaki wale wale kinyume na formula ya mgawanyo.Inatikiwa CCM IDADI ya viti maalum iongezwe na ile ya chadema ipunguzwe.

Chadema washauriwe wapeleke majina tume ya wabunge na madiwani viti maalumu ambao inabidi wapunguzwe kukidhi matakwa ya hiyo formula .Kwa kuwasadia Chadema ili wasiumize vichwa sana nashauri mmoja anayetakiwa kupunguzwa kwa maoni yangu napendeza wa kwanza awe mbunge viti maalum Joyce Mukya.
Unawafundisha kazi?
 
Nenda kasome tena sheria inayoipa mamlaka tume kuteua viti maalumu. Ukimaliza uje hapa either ufute huu uzi au uombe radhi
Tume huteua kulingana na idadi ya wabunge au madiwani ambao chama kinao.Haiteui tu bila kigezo hicho
 
Back
Top Bottom