KACHINJA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,263
- 864
mpaka leobado unashabikia ccm? itakuwa utamatatizo kwenye milango yako ya fahamuhuku ccm sio Kama Chadema, we boya
mpaka leobado unashabikia ccm? itakuwa utamatatizo kwenye milango yako ya fahamuhuku ccm sio Kama Chadema, we boya
Sophia aliingia kwa uenyekiti wa UWT,kwani ameshachaguluwa mwenye kiti mpya?mi naona hajachelewa Spika ndo huwa anaandika kwa Tume kumjulisha Jaji kuwa kuhusu nafasi iko wazi
hapa wanawake waanze kujipanga sasa
Mɓunge au mwakilishi fafanuaYupo mbunge mmoja wa CUF alifukuzwa uanachama kwenye Bunge lililopita lkn Alibaki kuwa mbunge, na kwa sasa ni waziri kwenye serikali ya mapinduzi zanzibar. Nadhani wangetumia vifungu hivyo hivyo mama Sophia naye aendelee tu na ubunge wake.
Acha uongoSophia aliingia kwa uenyekiti wa UWT,kwani ameshachaguluwa mwenye kiti mpya?
Kanuni za CCM mwenyekiti wa UWT moja kwa moja ana ukwaa ubunge wa viti maalum
Sophia simɓa ni mɓunge viti maalumu sio wa jimɓo wa kupigiwa kura na wanachama na wasio wanachama yeye kapelekwa na chama tofautishaJaji hawezi kukurupuka bila ya kupata taarifa toka kwa spika.Pia je sofia angekwenda mahakamani ili awe mbunge wa mahakama ingekuaje
Bibie,nafasi siku mingi ilishajazwa "kimya kimya" na "invisibly".mi naona hajachelewa Spika ndo huwa anaandika kwa Tume kumjulisha Jaji kuwa kuhusu nafasi iko wazi
hapa wanawake waanze kujipanga sasa
tupo wote cpmrade nilikuwa namuelewesha huyo anaesema Jaji kaijage kachelew kutangaza kiti kipo waziHaha mnajidanganya ,mwambieni aende haraka sana,CCM sio CUF au Chadema,hawakurupuki.
Yule alienda mahakamani kudai haki yake na ni mahakama iliyomsimamia. Huyu hajaenda kwa hiyo huwez kutumia vifungu hivyo.Yupo mbunge mmoja wa CUF alifukuzwa uanachama kwenye Bunge lililopita lkn Alibaki kuwa mbunge, na kwa sasa ni waziri kwenye serikali ya mapinduzi zanzibar. Nadhani wangetumia vifungu hivyo hivyo mama Sophia naye aendelee tu na ubunge wake.
Ha ha haaaaa you are kidding!Nashauri hiyo nafasi apewe masogange....
Wanaume wa viti maalum walishatosha so inatakiwa mwanamkeAlwatan Daudi Albert Bashite njia nyeupeeee kuelekea Ubunge.
Siyo Juliana Shonza?Nashauri hiyo nafasi apewe masogange....