The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Kwanza napenda kusema kuwa nimeshangaa sana kwa uchaguzi wa Rais kuisha na kutangazwa wakati Wabunge na madiwani hawajajulikana. Zaidi ya Baba Revo kumbwaga Zitto sijasikia jina la Mbunge au Diwani yeyote aliyechaguliwa mpaka sasa zaidi ya wale wa Zanzibar.
Tunaomba tujulishwe mgao wa CHAUMA umefikia wapi....!!?
Tunaomba tujulishwe mgao wa CHAUMA umefikia wapi....!!?