Fungo N.
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 252
- 43
Hili ni wazo langu_KAMA inawezekana CHADEMA kiunde tume itakayokuwa inaandaa;kuratibu na kusimamia chaguzi mbalimbali za ndani ya CHADEMA.Democrasia ikianzia ndani ya chama itahamia pia katika ngazi ya taifa.
NAWASILISHA/mawazo yenu yawe ya kujenga zaidi
NAWASILISHA/mawazo yenu yawe ya kujenga zaidi