Tume huru ya mchanga wa dhahabu iwe hivi:Ushauri

Siamini kama waliamua kuongopa lakini wamekosa uelewa wa industry. Ifahamike kuwa Mruma na wenzake ni academicians. Hawa ni wataalam wa theories lakini hawaishi kwenye Dunia halisia ya kiutendaji (industry practical world). Hata huko waliko, nina hakika watakuwa hawana amani, na watakuwa wanajilaumu kwa kukosa umakini.

Kuna uwezekano mkubwa maabara iliyotumika haina uwezo wa kufanya kazi iliyokusudiwa kwa usahihi. Na tatu, wahusika wameshindwa kutambua method ipi ya kimaabara iliyotakiwa kutumika kwa maana ya kujua nini kinatoka na kwa kiwango gani toka kwenye concentrate wakati wa recovery.
Ngoja tuone mwisho utakuwaje
 
ikiwa wemeshidwa kuunda tume huru ya uchaguzi wataweza.ya kuchunguza mchanga
 
Wakuu umofia kwenu,

Baada ya hili sekeseke la mchanga wa dhahabu kuchukua hatamu, kwa uelewa wangu kuhusu haya mambo, na baada ya ACACIA kuomba tume huru ya mchanga wa dhahabu. Ili kukata mzizi wa fitina, ningeshauri tume ya mchanga wa dhahabu iwe na mjumuisho wa watu wafuatao,
-Tume ya kwanza ya mchanga wa dhahabu
-Tume ya pili
-Tume ya tatu
-ACACIA
-TMAA
-SGS AUSTRALIA
-ALEX STEWART
-UMPIRE
-Bunge

Huo ni mtazamo wangu tu, maana nina imani hapo hatokuja kulalamika tena mtu.Na ikiwezekana ACACIA akubali kugharamia kila kitu. Tunataka haki yetu tujenge nchi

Kauli mbiu iwe WIN WIN SITUATION
Of all people, Alex Stewart, my foot!!
 
Back
Top Bottom