Tume huru ya mchanga wa dhahabu iwe hivi:Ushauri

onyx

JF-Expert Member
Mar 17, 2016
1,587
1,306
Wakuu umofia kwenu,

Baada ya hili sekeseke la mchanga wa dhahabu kuchukua hatamu, kwa uelewa wangu kuhusu haya mambo, na baada ya ACACIA kuomba tume huru ya mchanga wa dhahabu. Ili kukata mzizi wa fitina, ningeshauri tume ya mchanga wa dhahabu iwe na mjumuisho wa watu wafuatao,
-Tume ya kwanza ya mchanga wa dhahabu
-Tume ya pili
-Tume ya tatu
-ACACIA
-TMAA
-SGS AUSTRALIA
-ALEX STEWART
-UMPIRE
-Bunge

Huo ni mtazamo wangu tu, maana nina imani hapo hatokuja kulalamika tena mtu.Na ikiwezekana ACACIA akubali kugharamia kila kitu. Tunataka haki yetu tujenge nchi

Kauli mbiu iwe WIN WIN SITUATION
 
Tutazunguka sana Lakini tatizo ni SERA, SHERIA & MIKATABA mibovu ilioingiwa kwa mihemuko na ulimbukeni wa viongozi wetu.

Hata tukiweka hiyo tume huru tutabanwa na mikataba iliyoifanya madini kuwa mali ya wawekezaji na sisi kubaki na mrahaba wa 3%
 
Tutazunguka sana Lakini tatizo ni SERA, SHERIA & MIKATABA mibovu ilioingiwa kwa mihemuko na ulimbukeni wa viongozi wetu.

Hata tukiweka hiyo tume huru tutabanwa na mikataba iliyoifanya madini kuwa mali ya wawekezaji na sisi kubaki na mrahaba wa 3%
Mrabaha ni 4% sio 3%. Tunajua sera, sheria na mikataba ni mbovu. Kinachosumbua sasa ni kuthibitisha kwanza madai ya kiwango cha madini ndani ya mchanga. Hilo ndio la muhimu kwanza, ama tuachanae na viwango vya madini tuhamie huko, au tumalize kwanza hili
 
Mrabaha ni 4% sio 3%. Tunajua sera, sheria na mikataba ni mbovu. Kinachosumbua sasa ni kuthibitisha kwanza madai ya kiwango cha madini ndani ya mchanga. Hilo ndio la muhimu kwanza, ama tuachanae na viwango vya madini tuhamie huko, au tumalize kwanza hili
Hiyo 1% tuliongezwa kwa hisani baada ya malalamiko mengi awali na kwenye mikataba ni 3%.
 
Hapo solution ni kuondoa ccm madarakani na sio tume wala nn.......
Matatizo yote ya watz yanatengenezwa kwa maksudi na ccm alafu wanakuja baadae wakijifanya kutaka kuyatatua SHAME ON THEM
Insanity at work in Tz
Yaani uiondoe CCM halafu aingie nani?Yaani kwa akili zako kabisa uitoe CCM kisha uiweke CCM B ya kina Lowasa
 
Mrabaha ni 4% sio 3%. Tunajua sera, sheria na mikataba ni mbovu. Kinachosumbua sasa ni kuthibitisha kwanza madai ya kiwango cha madini ndani ya mchanga. Hilo ndio la muhimu kwanza, ama tuachanae na viwango vya madini tuhamie huko, au tumalize kwanza hili
Kwani kabla hatujaingia mikataba si huwa kuna zile research team za kugungua kiwango cha madini katika eneo husika?? Hizo report huhusisha mchanganyiko wa local researchers na hao wawekezaji, sasa tulivyopata hizo data na kuridhia na kupelekea kudondoka saini tulikua hatujielewi??

Ok, tulisoma na kutafiti kiwango cha madini kabla ya kusaini mikataba, nini kimeoneza concentrate katika mchanga mpaka uwe tofauti na awali? Je wale waliopitisha na kuhakiki zile report za research bado wapo? kwanini wasihusike katika hili kutupatia ufafanuzi?

Sidhani kama wawekezaji wana tatizo au lolote la kujibu katika hili.. Hiki ni kiporo chetu lazima tukile kiwe cha moto au baridi.
 
Kwani kabla hatujaingia mikataba si huwa kuna zile research team za kugungua kiwango cha madini katika eneo husika?? Hizo report huhusisha mchanganyiko wa local researchers na hao wawekezaji, sasa tulivyopata hizo data na kuridhia na kupelekea kudondoka saini tulikua hatujielewi??

Ok, tulisoma na kutafiti kiwango cha madini kabla ya kusaini mikataba, nini kimeoneza concentrate katika mchanga mpaka uwe tofauti na awali? Je wale waliopitisha na kuhakiki zile report za research bado wapo? kwanini wasihusike katika hili kutupatia ufafanuzi?

Sidhani kama wawekezaji wana tatizo au lolote la kujibu katika hili.. Hiki ni kiporo chetu lazima tukile kiwe cha moto au baridi.
Je TMAA wana tatizo katika hili. Data zote zipo na bosi wa ACACIA si tayari amezizungumzia
 
Hili zoezi ni la kwetu , njia yeyote tutakayoitumia tuchukue tahadhari kuu tusije tukajiingiza matatani kwa maamuzi yetu yanayopingana na mikataba tuliyosaini tukiwa na akili timamu, na kuisoma na kuielewa.

Huwezi kuuza kiyu bila kujua gharama yake, huwezi kutaja gharama ya jambo bila kujua undani wake.
 
-TMAA
-SGS AUSTRALIA
-ALEX STEWART
-UMPIRE
-Bunge

Tume ya Prof. Mruma iliyoapa mbele ya Mh.Rais, iliyokuwa imesheheni wataalamu wazalendo mbali ya kuwa na ulinzi wa hali ya juu lakini bado jamaa walijaribu kupenyeza rupia, Polepole anakwambia Rais walimpandia dau la 300 Billion.

Labda tumuombe msaada Putin otherwise tutapata report waliyo andaa wao.
 
Je TMAA wana tatizo katika hili. Data zote zipo na bosi wa ACACIA si tayari amezizungumzia
Kama walikubaliana na taarifa za utafiti za kiwango cha madini kilichopo ndani ya report itabidi watoe majibu.

Hili jambo liliongozwa na uharaka na mkono mrefu wa rushwa, na walaiopokea rushwa ndio waliotuingiza katika sakata hili (iwapo tu data walizotoa tume ni sahihi).
 
Hili zoezi ni la kwetu , njia yeyote tutakayoitumia tuchukue tahadhari kuu tusije tukajiingiza matatani kwa maamuzi yetu yanayopingana na mikataba tuliyosaini tukiwa na akili timamu, na kuisoma na kuielewa.

Huwezi kuuza kiyu bila kujua gharama yake, huwezi kutaja gharama ya jambo bila kujua undani wake.
Hili sakata,naona watu wengi hawajaelewa nini shida. Ishu sio mikataba wala sheria, hilolinajulikana tulishaingia chaka. Ishu hapa nije nani mkweli kwenye viwango vya madini kwenye mchanga,kati ya TMAA, ACACIA na TUME. Hilo ndo tatizo la msingi kuhitaji tume huru.
 
Wakuu umofia kwenu,

Baada ya hili sekeseke la mchanga wa dhahabu kuchukua hatamu, kwa uelewa wangu kuhusu haya mambo, na baada ya ACACIA kuomba tume huru ya mchanga wa dhahabu. Ili kukata mzizi wa fitina, ningeshauri tume ya mchanga wa dhahabu iwe na mjumuisho wa watu wafuatao,
-Tume ya kwanza ya mchanga wa dhahabu
-Tume ya pili
-Tume ya tatu
-ACACIA
-TMAA
-SGS AUSTRALIA
-ALEX STEWART
-UMPIRE
-Bunge

Huo ni mtazamo wangu tu, maana nina imani hapo hatokuja kulalamika tena mtu.Na ikiwezekana ACACIA akubali kugharamia kila kitu. Tunataka haki yetu tujenge nchi

Kauli mbiu iwe WIN WIN SITUATION


Hyo tume itaishia kupigana tu maana kila mmoja atataka kile anachoamini ndio kiwe kwenye final report.

Cha muhimu hapa tume itakayoundwa iwe 100% independent...hao akina Alex....SGS...tume ya kwanza na ya pili etc tupa kule.
 
Tume ya Prof. Mruma iliyoapa mbele ya Mh.Rais, iliyokuwa imesheheni wataalamu wazalendo mbali ya kuwa na ulinzi wa hali ya juu lakini bado jamaa walijaribu kupenyeza rupia, Polepole anakwambia Rais walimpandia dau la 300 Billion.

Labda tumuombe msaada Putin otherwise tutapata report waliyo andaa wao.
Sitaki kuingia kwenye tume ya Rais,ila kwa 300bn hakuna kitu kama hicho. Ni bora ukaanzishe mgodi mwingine. Kwa hapa Tanzania sidhani kama kuna mgodi umeanzishwa kwa hela kama hiyo. Ni nyingi sana
 
Hili sakata,naona watu wengi hawajaelewa nini shida. Ishu sio mikataba wala sheria, hilolinajulikana tulishaingia chaka. Ishu hapa nije nani mkweli kwenye viwango vya madini kwenye mchanga,kati ya TMAA, ACACIA na TUME. Hilo ndo tatizo la msingi kuhitaji tume huru.

Halafu kumbuka kosa kwa namna yoyote lipo upande wetu. Hawa ACACIA tutawalipa kwa namna yeyote tutakayo wasumbua.

Tratibu za mikataba zilifuatwa vyama kwa upande wa ACACIA, tukaridhia na kusaini. Upande wetu ndio ulikua na shida, watu walipelekeshwa na vijisent sasa tunahaha.
 
Wakuu umofia kwenu,

Baada ya hili sekeseke la mchanga wa dhahabu kuchukua hatamu, kwa uelewa wangu kuhusu haya mambo, na baada ya ACACIA kuomba tume huru ya mchanga wa dhahabu. Ili kukata mzizi wa fitina, ningeshauri tume ya mchanga wa dhahabu iwe na mjumuisho wa watu wafuatao,
-Tume ya kwanza ya mchanga wa dhahabu
-Tume ya pili
-Tume ya tatu
-ACACIA
-TMAA
-SGS AUSTRALIA
-ALEX STEWART
-UMPIRE
-Bunge

Huo ni mtazamo wangu tu, maana nina imani hapo hatokuja kulalamika tena mtu.Na ikiwezekana ACACIA akubali kugharamia kila kitu. Tunataka haki yetu tujenge nchi

Kauli mbiu iwe WIN WIN SITUATION
Ni pendekezo zuri mkuu, ingawa sina uhakika kama serikali inaweza kulikubali. Maana linaweza likaivua nguo hadharani.
 
Back
Top Bottom